• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS BALANDYA AWATAKA WAZAZI/WALEZI KUONGEZA UMAKINI KATIKA MALEZI

Posted on: July 30th, 2024

RAS BALANDYA AWATAKA WAZAZI/WALEZI KUONGEZA UMAKINI KATIKA MALEZI.


Walezi na Wadau wanaotekeleza afua za watoto wametakiwa kuzingatia malezi jumuishi ambayo ndiyo msingi wa asili wa malezi kwa watanzania.

Hayo yamesemwa na Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw.Balandya Elikana mapema wiki hii wakati wa ufunguzi wa kikao cha kujadili utekelezaji wa afua za watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa Mwanza.

Balandya amesema malezi ya watoto zamani yalikuwa ya jamii nzima na ndio maana watoto walikuwa salama na wenye maadili.

"Niwaombe wale wote mnaowasaidia hawa watoto hakikisheni baada ya kuwatoa mtaani mnawaunganisha tena na wazazi wa kwa kuwa familia ndio mlezi wa kwanza kwa mtoto na baada ya hapo jamii inafuatia". Balandya.

Naye Irene Mwapembe kutoka Shirika la Railway Children amemuomba Mganga mkuu kuongea na wafanyakazi wake ili wapatiwe mafunzo kuhusu masuala ya ubakaji na utolewaji wa PF3 kwaajili ya manufaa ya watoto wanaofanyiwa vitendo hivyo.

"Katika eneo hili tumekuwa tukipata changamoto kutoka kwa wataalamu wa afya,wengine wanampima mtoto wanasema hakuna kitu na ukienda kwa mtaalamu mwingine anaona kuna kitu mtoto kafanyiwa"amesema Mwapembe

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii mkoa wa Mwanza   Mwanza Janeth Shishila amewataka wadau wa watoto kuungana katika kutatua changamoto za watoto ili kuleta ustawi mzuri ndani ya jamii.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti