• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Mwanza aendelea kuhimiza matumizi sahihi ya Dawa na Vifaa Tiba Hospitali na Vituo vya Afya Mkoani Mwanza.

Posted on: May 27th, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike ameendelea na ziara ya ukaguzi wa Dawa na Vifaa Tiba Sekta ya Afya,akiwa Wilayani Magu amehimiza Hospitali na Vituo vya Afya kuzingatia matumizi sahihi ya dawa ili kuiepusha Serikali hasara ya dawa hizo kuchina.


Akizungumza na watumishi wa Hospitali ya Magu,Katibu Tawala Ngusa amesema ni lazima kuwepo na taarifa sahihi wakati wa kuagiza.


dawa au kutambua mapema ni kituo gani cha Afya kina upungufu na kufanya uamuzi sahihi.

"Nawakumbusheni tena maana ziara zangu nahimiza hili jambo tangulizeni uwajibikaji bora na siyo mkae tu ofisini na kuletewa taarifa hapo mtaharibu kazi"

Aidha ameipongeza Hospitali ya Wilaya ya Magu kwa kuweka takwimu sahihi na kuwafuatilia tiba zao Waathirika wa VVU hali ambayo amesema inasaidia kupunguza maambukizi.


Kuhusu tatizo la Fistula Ngusa ameitaka jamii kutowanyanyapaa watu wenye hali hiyo na badala yake kuhimizana kwenda kupata huduma Hospitali kwani tatizo hilo linatibika

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dktr Thomas Rutachunzibwa amesema marafiki wa Maendeleo kama Asasi isiyo ya Kiserikali ya AMREF wamekuwa wakisaidia kutoa elimu na gharama za matibabu ya magonjwa mbalimbali maeneo ya Vijijini.


Katika ziara hiyo Wilayani Magu,Katibu Tawala Ngusa pia amevitaka Vituo vyote vya Afya vilivyokamilika ujenzi kwa asilimia 80 vianze kutoa huduma kwa Wananchi.

Wilaya ya Magu ina jumla ya Vituo 51 vya afya  vikiwemo 44 vya Serikali,taasisi za kidini na watu binafsi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti