• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Mwanza ataka Elimu zaidi kwa wadau wa sekta ya uvuvi ili kulinda usalama wao majini

Posted on: December 18th, 2023

RAS Mwanza ataka Elimu zaidi kwa wadau wa sekta ya uvuvi ili kulinda usalama wao majini


Leo Disemba 18,2023 Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Ndg. Balandya Elikana ameupokea Ofisini kwake ugeni kutoka Wizara ya Maji ukiongozwa na Katibu Mkuu wake Prof. Jamal Katundu ambapo katika mazungumzo mafupi Balandya ameshauri watumiaji wa Ziwa Victoria wazidi kuelimishwa hasa kutokana na kukabiliwa na majanga ya ajali za kuzama mara kwa mara.

"Mkoa wa Mwanza asilimia 53 ni Ziwa Victoria, hivyo idadi kubwa ya wananchi shughuli zao za kiuchumi wanategemea Ziwa hilo, hivyo watakapo elimishwa kuhusiana mazingira ya kiusalama nguvu kazi itazidi kuimarika," Balandya

Mtendaji huyo wa Mkoa ameupongeza mradi wa kituo cha usalama majini kinachojengwa Mkoani Mwanza na Jumuiya ya Afrika Mashariki na kusema kitaongeza tija kwenye sekta ya uvuvi na usalama wa majini kwa ujumla.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Prof. Jamal Katundu amebainisha lengo la ujio wake Mwanza ni kukagua na kutoa ushauri kwenye miradi mbalimbali iliyo chini ya bonde la Ziwa Victoria, Mwauwasa na kituo cha kimataifa cha usalama majini malengo yake yakiwa ni kuwanufaisha wananchi kama ilivyo kusudiwa.

"Ndugu Katibu Tawala wa Mkoa nikupongeze kwa kujaliwa miradi mingi hapa Mwanza,ni wajibu wetu sasa sisi viongozi tuhakikishe inakamilika kwa wakati,yenye ubora na kuwaletea maendeleo wananchi,"amefafanua Prof.Katundu wakati wa mazungumzo mafupi na mwenyeji wake.

.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti