• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS Mwanza awataka Wataalamu wa afya kuleta mageuzi chanya ndani ya Sekta hiyo

Posted on: July 22nd, 2022

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ngusa Samike amewataka Wataalamu wa Afya kutoka Halmashauri zote   Mkoani humo kuleta Mageuzi chanya kwenye Sekta hiyo hasa suala zima la Afya ya mama na mtoto.

Akifungua Kikao kazi cha Wataalamu hao cha Wilayani Sengerema walichokutana kujadili changamoto na kupanga mbinu bora za kuboresha afya ya mama na mtoto, Samike amesema bado kunahitajika uwajibikaji wenye Weledi katika kuboresha huduma ya afya kwa ujumla.

"Kila mwaka mnakuwa na vikao vya namna hii kwa kushirikiana na Wadau wa Maendeleo lakini nikiangalia takwimu za mabadiliko hayaridhishi hasa suala la vifo vya mama na mtoto, anzeni kubadilika" amesisitiza Katibu Tawala.

Amewakumbusha Waganga Wakuu wa Wilaya kutumia muda mwingi kuzungukia kwenye Vituo vya Afya na kuzitatua changamoto zilizopo kwani kwa kufanya hivyo kutaongeza ari ya uwajibikaji kwa Watumishi wengine.

Ndugu Samike ameishukuru pia Serikali ya awamu ya Sita kwa kuendelea kujenga ushirikiano mzuri na Taasisi zisizo za Kiserikali ambazo zimekuwa zikitoa mchango katika Miradi mingi ya afya Mkoani Mwanza.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Thomas Rutachunzibwa amesema atasimamia na kutekeleza maagizo yote yanayolenga kutatua changamoto katika Sekta ya afya mkoani humo.

Kikao hicho cha siku 3 cha kupanga mfumo wa Afya ya uzazi kinaratibiwa na Shirika la USAID AFYA YANGU huku kikiwajumuisha watalaamu wa afya kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa, Waganga Wakuu wa Wilaya na Waratibu wa afya kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti