• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI SEKTA YA AFYA KUTEKELEZA VEMA PROGRAMU YA DREAMS KUSAIDIA VIJANA KUTIMIZA NDOTO ZAO

Posted on: March 14th, 2024

RAS MWANZA AWATAKA WATENDAJI SEKTA YA AFYA KUTEKELEZA VEMA PROGRAMU YA DREAMS KUSAIDIA VIJANA KUTIMIZA NDOTO ZAO


Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Emil Kasagara ametoa rai kwa watendaji wa Halmashauri za Mwanza kutekeleza Ipasavyo Programu ya DREAMS ili kusaidia kutimiza ndoto za watoto na vijana walio katika rika balehe ili kuokoa kizazi cha sasa na baadae dhidi ya maambukizi ya ukimwi

Ndugu Kasagara amesema hayo leo Machi 14, 2024 wakati akizindua rasmi kwa niaba ya Katibu Tawala Mkoa Programu ya DREAMS inayoratibiwa na KKKT Makao Makuu kwa ufadhili wa Shirika la msaada la Marekani USAID. Programu itakayotekelezwa katika Halmashauri 7 za Mkoa wa Mwanza.

Ndugu Kasagara amesema Mkoa huo unapongeza juhudi hizo na kuupokea kwa dhati programu hiyo na kwamba Ofisi hiyo itatoa ushirikiano wa dhati kuhakikisha unafanikiwa ili kuwa na jamii yenye afya njema yenye kujihusisha na uzalishaji mali na kujenga uchumi.

Bwana Issa Murshid Mkurugenzi mshiriki wa Kanda wa mradi wa USAID Kizazi Hodari (Brave Generation) amebainisha kuwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania  (KKKT)  linatekeleza Programu hiyo chini ya ufadhili wa USAID ili kuhakikisha vijana wanalindwa na kuwa na Taifa lenye nguvu kwa maendeleo ya Taifa.

Awali, mratibu wa programu ya DREAMS kutoka TACAIDS Ndugu Kelvin Kisoma amefafanua kuwa mradi huo umelenga kusaidia vijana wa rika la miaka 10- 24 ili kuwalinda kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ukimwi hivyo wanapata afua zitakazowasaidia kujilinda kwani ni kundi lililo kwenye hatari ya kuambukizwa.

Vilevile, amebainisha pia kwamba tafiti zilizofanywa mwaka 2016/17 zilionesha kuwa kundi la vijana lilipata na maambukizi mapya kwa 40% na kufanya kuwa sawa na kila kwenye kundi la watu kumi wanne wanaweza kuwa na maaambukizi. Pia alieleza kuwa watoto na vijana wakiwa katika hatari zaidi ya kupata maambukizi mapya.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti