• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Makalla afanya ukaguzi wa Jengo jipya la Abiria la uwanja wa ndege Mwanza,ahimiza ujenzi uendelee haraka

Posted on: May 30th, 2023

*RC Makalla afanya ukaguzi wa Jengo jipya la Abiria la uwanja wa ndege Mwanza,ahimiza ujenzi uendelee haraka


*Ataka TAA wakabidhiwe haraka mradi huo*


*Akiri kuwepo na Changamoto za kiujenzi



Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Amos Makalla ameagiza mchakato wa makabidhiano wa Jengo jipya la Abiria la uwanja wa ndege kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwenda kwa Mamlaka ya viwanja vya ndege TAA ufanyike kwa haraka ili waendelee na kazi ya ujenzi.

Mhe.Makalla ametoa kauli leo mara baada ya kufanya ukaguzi wa Jengo hilo linalojengwa kwa kuchangiwa fedha kutoka Serikali kuu,Manispaa ya Ilemela na Jiji la Mwanza na kusisitiza hakuna sababu ya mradi huo kuendelea kusimama licha ya kuwepo na kasoro nyingi za kiufundi.

"Nimekuja kufanya ukaguzi wa Jengo hili mengi nitazungumza na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa,lakini nichukue nafasi hii kuhimiza TAA ndiyo wenye dhamana na jengo hilo hivyo waachiwe waendelee na ujenzi huu wakishirikiana na Wizara husika ya Ujenzi na Uchukuzi",CPA Makalla

Awali akitoa taarifa ya ujenzi huo ambao

 kwa sasa umesimama,Katibu Tawala Msaidizi,Miundombinu Mkoa wa Mwanza Mhandisi. Chagu Nghoma amesema Halmashauri ya Jiji la Mwanza wametoa zaidi ya Shs Bilioni 1.45,Ilemela zaidi ya Shs Bilioni 1.42 na Serikali kuu zaidi ya Shs Bilioni 9.

Aidha Afisa uendeshaji wa uwanja wa ndege Mwanza,Senneth Lyatuu aliyezungumza kwa niaba ya Meneja wa uwanja huo,amebainisha hawana utaratibu wa kuendesha shughuli zao kwa ubia na Taasisi nyingine za Serikali au Halmshauri.

Mhe Makalla ameshauri kuwepo na kikao baina ya pande zote husika zilizochangia fedha hizo ili kuona uwezekano wa kurudishiwa au taratibu nyingine.

Jengo la Abiria la uwanja wa ndege lilianza kujengwa mwaka 2019 kwa agizo la Rais wa awamu ya tano Hayati Dkt.John Magufuli kwa gharama ya zaidi ya Shs Bilioni 13 na hadi sasa zimetumika zaidi ya Shs Bilioni 9.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti