• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Makalla agawa Pikipiki 46 kwa Maafisa Ugani-Mifugo kutoka Halmashauri 8 za Mwanza

Posted on: December 14th, 2023

RC Makalla agawa Pikipiki 46 kwa Maafisa Ugani-Mifugo kutoka Halmashauri 8 za Mwanza


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla leo amegawa Pikipiki 46 kwa Maafisa Ugani-Mifugo kutoka Halmashauri 8 za mkoa huo na kuwataka kwenda kuzitumia kwa makusudi yaiiyolengwa na siyo vinginevyo nevyo.

Akizungumza kwa niaba yake kwenye viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wakati wa hafla fupi ya makabudhiano hayo, Mkuu wa Wilaya ya Misungwi,Mhe. Paul Chacha amebainisha Serikali inaendelea kuiboresha sekta ya Mifugo kwa kuweka mazingira rafiki kwa Maafisa hao, hivyo nao ni wajibu wao kuhakikisha wanakuwa chachu ya mageuzi chanya kwenye sekta hiyo.

"Hizi Pilipiki siyo muende kuzigeuza bodaboda na kujipatia kipato hapo mtakuwa mnakosea na hatua za kinidhamu zitachukuliwa, nendeni muwafuate wakulima walipo na mkstoe elimu ya kutosha," Mhe.Chacha

Amewataka pia Wakurugenzi wote wa Halmashauri kuhakikisha wanawapatia mafuta ya kutosha ili wasikwame katika shughuli zao za kila siku.

Kwa upande wake Katibu Tawala msaidizi uchumi na Uzalishaji,Emil Kasagara amesema Plkipiki hizo zimekuja wakati mwafaka kutokana na kuwepo na mradi wa kunenepesha ng'ombe na kituo atamizi kwenye shamba la Taifa la mifugo Mabuki.

"Mhe.Mkuu wa Wilaya hapo Mabuki Serikali imepeleka ng'ombe 500 kwa ajira ya mradi wa unenepeshaji na kuna vijana 90 wanapata mafunzo hayo,hivyo maafisa Ugani hawa wamerahisishiwa kazi ya kwenda kusaidia kutoa elimu,"

"Tunaishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kutuwezesha nyenzo hizi,siku za nyuma tulipata wakati mgumu katika kutimiza majukumu yetu",Arsen Mwenda,Afisa Ugani-Mifugo Kwimba.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti