• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AWAPONGEZA TIC KUHAMASISHA WATANZANIA KUWEKEZA NCHINI

Posted on: January 8th, 2024

RC MAKALLA AWAPONGEZA TIC KUHAMASISHA WATANZANIA KUWEKEZA NCHINI


*Abainisha kuwa Miradi ya Kimkakati kuinua Uchumi wa Nchi*


*Awataka watanzania kuwekeza nchini kwa maendeleo ya Taifa*


*Awapongeza kwa kuweka mazingira rafiki zaidi ya upatikanaji wa leseni*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amekipongeza Kituo cha Uwekezaji nchini kwa kuhamasisha watanzania kujivunia uwekezaji nchini ili kukuza uchumi wao na kuweka mazingiza rafiki kwao kujihusisha.


Akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo hicho aliyeambatana na timu ya wafanyakazi leo januari 08, 2024 Ofisini kwake Mhe. Makalla amesema uamuzi wa kutoa Elimu kwa wafanyabiashara na makundi mengine juu ya uwejezaji ili kutoa hamasa waweze kuwekeza zaidi nchini.

Makalla amesema siku za nyuma watanzania walikua na kasumba kwamba uwekezaji ni kwa wananachi wa nje ya nchi pekee lakini kutokana na juhudi za Kituo hicho hivi sasa wameanza kuelewa kwamba ni suala la Wote hata wazawa.


Amesema kuwa Mkoa wa Mwanza umekua ukiongoza kwenye kutoa pato la Taifa kwa kushika nafasi ya pili ukiongozwa na Mkoa wa Dar Es Salaam na kwamba kwa shabaha ya Mkoa kwa sasa ni kuongeza juhudi kwenye uwekezaji kupitia sekta za uvuvi, kilimo, mifugo na uchukuzi.

Halikadharika, Mhe. Makalla amewapongeza kituo hicho kwa kuweka mazingira rafiki zaidi ya upatikanaji wa leseni na kusaidia wananchi wengi zaidi kuamua kujihusisha na shughuli za uchumi za kuwekeza.


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini Gilead Teri amesema taasisi hiyo inafanya Uhamasishaji ili Watanzania waweze kujikita kwenye kuwekeza mitaji yao nchini badala ya kupeleka nje ili waweze kukuza nchi yao.

Ndugu Teri amesema wameona Viwanda vingi sana Mkoani Mwanza na kwamba vitasaidia kukuza uchumi kwani Sekta za Uvuvi, kilimo, uchukuzi kupitia miradi ya kimkakati inayojengwa na Madini vimeimarishwa sana siku za karibuni.

Ameongeza kuwa pamoja na ubora wa sheria ya Uwekezaji ya 2023, mifumo ya TEHAMA inasaidia zaidi kuweka urahisi wa kuhusisha watanzania wengi zaidi kwenye uwekezaji.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti