• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AWATAKA WADAU WA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI KANDA YA ZIWA MAGHARIBI KUJIANDAA NA MAONESHO YA KISASA YA NANE NANE 2023

Posted on: July 26th, 2023

RC MAKALLA AWATAKA WADAU WA KILIMO, UVUVI NA UFUGAJI KANDA YA ZIWA MAGHARIBI KUJIANDAA NA MAONESHO YA KISASA YA NANE NANE 2023.


*Azitaka Halmashauri zote kutoka Kanda hiyo kushiriki kwa kina*


*Atoa wito kwa Sekta za Uvuvi, Kilimo na Ufugaji kuonesha ubunifu kupitia maonesho hayo*


*Awataka Viongozi kuandaa vijana kujikita kwenye kilimo ili kujipatia uchumi*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amewataka wadau wa Kilimo, Uvuvi na Ufugaji kutoka Kanda ya Ziwa Magharibi kujiandaa vema na maonesho kabambe ya Nane nane yanayotarajiwa kufanyika kwenye viwanja vya Nyamhongolo Jijini Mwanza.

Ametoa wito huo mapema leo tarehe 26 Julai 2034 wakati wa kikao cha tathmini ya maonesho ya mwaka na maandalizi ya maonesho ya kilimo (NANE NANE) na maandalizi yanayoendelea ya maonesho hayo yanayotarajiwa kufanyika Kuanzia Agosti Mosi hadi 8, 2023.

Vilevile, Makalla ametoa wito kwa wataalamu kutoka mikoa hiyo kuwasaidia wafugaji, wavuvi na wakulima katika kuongeza thamani ya mazao yao na kufanya kilimo bora kwa ujumla ili waachane na zana za zamani na uwepo wao uongeze tija kwa wakulima na kuwainua kiuchumi kwa ujumla.

"Tunapaswa katika maonesho haya wataalamu wote na wagani kuendelea kuwasaidia wavuvi ma wafugaji katika kufanya shughuli zao kibiashara ili kuinua uchumi wao, tuwafundishe wapi watapata masoko ya mazao na kuongeza thamani ya mazao." CPA Makalla.

Aidha, ametoa rai kwa viongozi na watendaji kutoka kwenye kanda hiyo kuhakikisha wanawaleta wafugaji, wakulima na wavuvi kwenye maonesho hayo ili wajifunze kwa vitendo kupitia mashamba darasa ya Uvuvi, Kilimo na Vipando vitakavyooneshwa kwenye viwanja hivyo.

Kwa mara ya tano Kanda ya Ziwa Magharibi inatarajia kuadhimisha maonesho ya Nane nane katika viwanja vya Nyamhongolo na maonesho ya mwaka 2023 yamebeba kaulimbiu isemayo "Vijana na Wanawake ni Msingi Imara wa Mifumo Endelevu ya Chakula.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti