• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MAKALLA AWATAKA WAJASIRIAMALI KUTUMIA SEMINA NA VIFAA MTAJI KUTOKA AMO FOUNDATION KUKUZA BIASHARA ZAO

Posted on: March 6th, 2024

RC MAKALLA AWATAKA WAJASIRIAMALI KUTUMIA SEMINA NA VIFAA MTAJI KUTOKA AMO FOUNDATION KUKUZA BIASHARA ZAO


*Awataka kuwa na vipaumbele kwenye kusimamia biashara moja kwa umakini*


*Aipongeza AMO Foundation kwa kuweka huduma ya upimaji Afya*


*Atoa wito kwa vikundi kurejesha mikopo ili kuleta ufanisi wa mradi*


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Amos Makalla amewataka wajasiriamali kutumia semina na vifaa mtaji kutoka AMO foundation kutumia semina ya mafunzo na Vifaa mtaji watakavyokopeshwa kujiimarisha kiuchumi.

CPA Makalla ametoa wito huo leo Machi 06, 2024 wakati akikagua maendeleo ya Kongamano la siku nne la uwezeshaji kwa Wajasiriamali lililoandaliwa na Taasisi hiyo kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mkoani Mwanza.


Makalla amesema katika kuhakikisha wanafanikiwa kukuza mitaji yao ni lazima wawe na nidhamu ya matumizi ya fedha na kurejesha mikopo kwa wakati ili pia vikundi vingine viweze kufikiwa kwenye uwezeshaji.

Aidha, ametumia wasaa huo kushukuru taasisi hiyo kwa kutoa huduma za upimaji afya kwenye magonjwa mbalimbali bila malipo yanayokwenda sambamba na kongamano hilo kwa wajasiriamali pamoja na wananchi.

Bi. Amina Good, Mkurugenzi wa Shirika la AMO foundation amebainisha kuwa shirika hilo limeamua kushirikiana na Serikali katika kutoa huduma za kijamii na ukuzaji wa mitaji kwa wajasiriamali kwa kuwapatia vifaa mitaji.

"AMO foundation tumeamua kushirikiana na Serikali kutoa huduma kwa jamii na katika kuwapata wanufaika wa vifaa hivi kama Pikipiki, mitungi ya gesi na majiko tumeshirikiana na Halmashauri kuwapata wajasiriamali kuanzia ngazi za vitongoji hadi Mkoa." Bi. Amina.


Kongamano hilo lenye Kaulimbiu isemayo; 'Uwajibikaji wetu ndio uhai wa Uchumi wetu' limewakusanya wajasiriamali kutoka wilaya zote za Mkoa wa Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti