• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Malima atoa Rai kwa Vijana kuwa na kanzidata

Posted on: January 14th, 2023


Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima akiwa ziarani Wilayani Sengerema ameitembelea Kambi ya Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyokutana kwa siku tatu katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi wakipeana mafunzo ya Itifaki na uzalendo.

Mhe. Malima ametoa wito kwa vijana hao pamoja na mambo mengine kuwa na kanzidata ili iwepo takwimu sahihi ya wanachama huku akibanisha kuwa mikakati ya kutimiza dira ya uhakika wa kupata Ushindi kwenye Uchaguzi Mkuu na chaguzi zingine itatokana na kuwa na takwimu sahihi za wananchama katika kila kundi.

"Uimara wa Chama Cha Mapinduzi haujaja hivi hivi, ni maandalizi mazuri ya waasisi na viongozi kwa vijana katika kuwajengea Misingi ya kulitumikia Taifa lao kizalendo na ndio maana kijana wa hiki popote utapomkuta utambaini kwa nidhamu yake kubwa katika kukisemea chama chake." Mhe. Malima amesisitiza.

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Sengerema Ndg. Makoe Augustino ametoa wito kwa vijana hao kushirikiana na serikali na Chama Cha Mapinduzi katika kuwaletea wananchi maendeleo lakini pia waendelee kujibidiisha kwenye masomo na kuwa wazalendo kwa Taifa lao.

Mwenyekiti wa Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Mwanza Ndg Chrisrian Kimaro ambaye ni mwanafunzi wa Chuo cha Bugando ametumia wasaa huo kumpongeza Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza Ilani kwa ufanisi mkubwa huku akitolea mfano  miradi ya kimkakati kama daraja la Kigongo Busisi ambalo litakapokamilika litachochea uchumi wa kanda ya ziwa.

Vilevile, amempongeza Mwenyekiti Taifa kwa kuisimamia vema Serikali ya awamu ya Sita hasa kwa upande wao kwani pamoja na uboreshaji wa mambo mengine, fedha za Mikopo zimetolewa kwa wanafunzi kwa ufanisi kwani siku za karibuni wameweza kupokea hadi duru la nane jambo ambalo ni tofauti na miaka mingine ambapo kwa wakati huu ingetoka duru la sita.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti