• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Malima awahimiza Wananchi wa Mwanza kuelimika bila kutishana dhidi ya ugonjwa wa Ebola

Posted on: October 5th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amewahimiza Wananchi wa Mkoa huo kuendelea kuchukua tahadhari kuhusiana na ugonjwa wa Ebola pasipo kutishana ili kuondoa taharuki kwenye Jamii.

Akizungumza leo na wawakilishi wa makundi mbalimbali kuhusiana na utayari wa Mkoa wa Mwanza dhidi ya ugonjwa wa Ebola, Mhe. Malima amesema Elimu kwa jamii ndiyo njia sahihi ya kukabiliana na ugonjwa huo kama utaingia Mkoani humo.

"Niwasihi sana, kuanzia Viongozi wa Dini, Wataalamu wa Afya na Makundi mengine mliopo humu tupate uelewa mzuri kutoka kwa Wataalamu wanaotuelimisha leo humu ukumbini na tusione aibu kuuliza maswali ili tuwe mabalozi katika kuelimishana," amesema Mkuu wa Mkoa.

Malima ameongeza kuwa jamii ni lazima iendelee kuchukua tahadhari na kumuomba mwenyezi Mungu kuwaepusha na balaa hili  hasa kutokana na ukaribu wa Mkoa wa Mwanza na Nchi ya Uganda ambako visa vya ugonjwa wa Ebola vimetokea na kuuwa watu kadhaa.

"Kama ikitokea mtu ameambukizwa tuepuke utamaduni tuliozoea wa kumhudumia mgonjwa kwa kugusana au maiti kuishika hiyo itachangia kuusambaza ugonjwa kwa kasi," amesema Dkt Rutachunzibwa wakati akitoa elimu ya tahadhari ya ugonjwa huo.

"Dalili za ugonjwa wa Ebola ni homa kali, kuhara na kutapika, kichwa kuuma sana, kutokwa na damu sehemu zote zenye matundu mwilini na kuishiwa na nguvu, hivyo unapomshuhudia mtu wa aina hii ni lazima kumuwahisha Hospitali haraka." Prof. Deodatus Kakoko, kutoka Chuo Kikuu kushiriki cha Afya Muhimbili.

Tayari Serikali imechukua tahadhari kupitia Mikoa yote hatarishi iliyopo Kanda ya Ziwa kuanzia sehemu za Bandari, Viwanja vya Ndege na sehemu za mipaka kwa kuweka Vifaa vya kisasa vya kubaini mtu mwenye dalili za ugonjwa wa Ebola.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti