• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU-CHINA, AKARIBISHA UWEKEZAJI

Posted on: November 20th, 2024

RC MTANDA AFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA WA JIMBO LA JIANGSU-CHINA, AKARIBISHA UWEKEZAJI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amekutana na kufanya mazungumzo na Gavana wa Jimbo la Jiangsu kutoka China Mhe. Xu Kunlin na kumfahamisha fursa mbalimbali za uwekezaji ukiwemo ufugaji wa kisasa wa samaki, viwanda na Utalii.

Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Novemba 20, 2024 kwenye ukumbi wa Ofisi ya mkuu wa mkoa, Mtanda amebainisha fursa nyingine zilizopo Mwanza ni madini na maeneo ya kufungua vyuo kwa ajili ya ufundishaji wa lugha ya kichina itakayosaidia wageni wa kitalii kutoka nchini humo.

"Hapa Mwanza tayari kuna mwekezaji kutoka China anayefuga samaki kwa njia ya vizimba na kutengeneza fedha nyingi,hivyo nawakaribisha mfike kwa wingi kuwekeza,"amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa wakati akizungumza na ujumbe ulioongozana na Gavana huyo.

Mtanda amesema uhusiano kati ya Tanzania na China ulioasisiwa tangu mwaka 1961 na Hayati Julius Nyerere na Mao Tsetung umezidi kuleta maendeleo kwa wananchi wake.

Kwa upande wake Gavana Mhe.Kunlin ameonesha kufurahishwa na taarifa za Mkoa wa Mwanza ambao amesema jina la Rock City umefanana na la Jimbo lake linalojulikana kama Stone Town,na kuongeza kuwa amevutiwa na uwekezaji wa ufugaji samaki,kiwanda cha chakula cha samaki na utalii


"Nitakaa na uongozi wa ngu kwa ajili ya kufanya utafiti mzuri wapi eneo mwafaka kwa ajili ya kuja kuwekeza na kuzidi kuimarisha uhusiano wa majiji ya Mwanza na Jiangsu,"Mhe.Kunlin.

Gavana huyo na ujumbe wake wakiwa nchini kabla ya kuja Mwanza wamefanya pia ziara kisiwani Zanzibar lengo likiwa kuimarisha uhusiano na kuona fursa za uwekezaji.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti