• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AIAGIZA WILAYA YA KWIMBA KUKAMILISHA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: July 28th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba kusimamia ukamilishaji wa miradi ya maendeleo ili iweze kutoa huduma zilizokusudiwa kwa wananchi.

Mhe. Mtanda ametoa agizo hilo leo Julai 28, 2025 wilayani humo wakati akikagua miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali ambapo imegharimu fedha mbalimbali kutoka Serikali kuu, mapato ya ndani pamoja na nguvu za wananchi.


Akikagua mradi wa kisima kirefu cha maji katika kijiji cha Maligisu amewaagiza RUWASA kuzitendea haki milioni 530 zilizotolewa na serikali kuu kwa  kuhakikisha wanakamilisha mradi huo mara moja ili uhudumie wakazi zaidi ya 8000 wanausubiria.


Aidha, amewaagiza watendaji wa vijiji kupanga bei na wananchi ili kuwa na umiliki na ushirikishwaji wa pamoja jambo litalosaidia kuutunza mradi huo ipasavyo pamoja na kuingiza maji kwenye nyumba zao na kulipia ankara za maji.

Akikagua ujenzi wa Bweni la wanafunzi lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 80 katika shule ya sekondari Ngudu linalogharimu Milioni 160 Mkuu wa Mkoa ameagiza urekebishaji wa kasoro ndogondogo na ukamilishaji wa haraka wa bweni hilo.


Vilevile, amemuagiza Afisa Elimu wa Mkoa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupitia kwa kutumia gesi ya asili na mbadala inayopatikana kwenye mazingira ili kupunguza gharama za uendeshaji na kuepusha uchafuzi wa mazingira kama walivyofanya kwenye shule ya Ngudu.

Kabla ya kukagua mradi wa Daraja la Sasi linalojengwa kwa Tshs. Bilioni 5.5 Mkuu wa Mkoa ameagiza mkandarasi anayejenga nyumba 1 ya mtumishi (Wakuu wa Idara) kati ya mbili zinazojengwa kwa Tshs. Milioni 160 kila moja kuhakikisha anarekebisha kasoro kwenye njia ya kuingilia walemavu na nyufa kwenye kuta.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti