• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AIPONGEZA BONDE LA ZIWA VICTORIA KWA KUELIMISHA UMMA

Posted on: May 13th, 2025

RC MTANDA AIPONGEZA BONDE LA ZIWA VICTORIA KWA KUELIMISHA UMMA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameipongeza na kutoa maagizo kwa  Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria kuhakikisha Jarida waliloliandaa kuhusu kukabiliana na uvamizi wa Gugumaji jipya katika ziwa victoria (Salvinia Molesta) linawekwa katika mifumo mbalimbali ili jamii iweze kuona, kusoma na kusikiliza vizuri.

Mkuu wa Mkoa ametoa rai hiyo mchana wa leo Mei 13, 2025 alipokuwa akizundua Jarida la Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria linalohusu kukabiliana na uvamizi wa Gugumaji katika Ziwa Victoria ambapo amesisitiza umuhimu wa kuliweka jarida hilo katika mifumo mbalimbali ikiwemo mfumo wa nakala mtandao.

Kadhalika Mkuu wa Mkoa ametoa pongezi kwa Bodi ya Bonde hilo kwa kuja na mpango wa jarida hilo kwa kuwa athari zinazotokana na Gugumaji hilo ni kubwa na inahatarisha uchumi wa Mkoa wa Mwanza na Mikoa ya Kanda ya Ziwa.

“53% ya Mkoa wa Mwanza umezungukwa na ziwa Victoria hivyo hapa Mwanza unapozungumzia maji unazungumzia uchumi, sekta ya usafirishaji, uhifadhi wa mazingira na wavuvi pia”.


kwa hiyo madhara ni makubwa sana na elimu hii mliyoitoa kupitia jarida hili ni muhimu sana kwa jamii na ninawapongeza sana kwa kazi kubwa iliyofanyika lakini bado ni endelevu na ni wajibu wetu kihakikisha kuwa ziwa victoria linaendelea kuwa safi. Ameongeza Mkuu wa Mkoa.

Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria Dkt. Renatus James Shinu amesema Jarida hilo ni maalumu na limelenga kuhakikisha taarifa muhimu ya shughuli, mbinu, na jitihada ambazo zimefanywa na Serikali katika kupambana na Gugumaji hilo ikiwemo na mipango ya baadae inawafikia Wananchi na Wadau wa sekta ya maji.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti