• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AISHUKURU MAHAKAMA KUTOA ELIMU YA RASIMU DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050

Posted on: February 3rd, 2025

RC MTANDA AISHUKURU MAHAKAMA KUTOA ELIMU YA RASIMU DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewashukuru wadau wa Mahakama na Taasusi zote zinazosimamia haki madai kwa kushiriki kikamilifu katika utoaji wa elimu kwenye masuala ya kisheria na rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050.

Mhe. Mtanda, ametoa shukrani pia kwa Serikali chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa maendeleo na kutoa nafasi ya pekee kwa wananchi na wadau kushiriki kikamilifu mchakato mzima wa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo hadi pale itakapokamilika.

Mhe. Mtanda amesema hayo leo Februari 03, 2025 alipokuwa akitoa salamu za Mkoa katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini yaliyoadhimishwa Kikanda katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (IJC) Mwanza Wilayani Ilemela.

“Sote tunafahamu ya kwamba mchakato wa uandaaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo hupitia hatua mbalimbali zinazohusisha wananchi na wadau mbalimbali wa maendeleo, ikiwemo utoaji na upokeaji wa maoni kutoka kwa wananchi na wadau mbalimbali zikiwemo taasisi zinazosimamia haki madai nchini”.

Hivyo, nina imani kupitia elimu mliyotoa kwa wananchi kuanzia tarehe 25 Januari, 2025 hadi leo wamepata uelewa wa kina kuhusiana na Rasimu ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050. Ameongeza Mhe. Mtanda.

“Kwa lugha rahisi zaidi, Dira ya Taifa ya Maendeleo ni picha au maono

kuhusu mustakabali tarajiwa wa maendeleo ya nchi katika siku za usoni”. Amesema Mhe. Mtanda

Naye, Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Mwanza, Mhe. Dkt. Ntemi Nimilwa Kilekamajenga ametoa rai wananchi na wadau kushiriki kikamilifu mchakato mzima wa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo hadi pale itakapokamilika. Kwa kuwa Dira ndio imebeba maono na matarajio ya Watanzania kwa miaka 25 ijayo.

Maadhimisho ya wiki na siku ya sheria yameongozwa na kauli mbiu

inayosema:- “Tanzania ya 2050: Nafasi ya Taasisi Zinazosimamia Haki Madai Katika Kufikia Malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti