• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AKAGUA UWANJA CCM KIRUMBA, AMPA SIKU 7 MENEJA KUREKEBISHA KASORO ZILIZO JITOKEZA

Posted on: March 11th, 2025

RC MTANDA AKAGUA UWANJA CCM KIRUMBA, AMPA SIKU 7 MENEJA KUREKEBISHA KASORO ZILIZO JITOKEZA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo tarehe 11 Machi, 2025 amekagua miundombinu ya uwanja wa CCM Kirumba na akamtaka Meneja wa uwanja huo kurekebisha kasoro zilizojitokeza

Akiongea baada ya ukaguzi huo, Mhe. Mtanda amesema amejiridhisha na hali ya miundombinu kwenye maeneo yote ya eneo la kuchezea, vyoo, eneo la watu mashuhuri pamoja na vyumba vya kupumzika wachezaji na kwamba hali ni nzuri.

Aidha, amesema amebaini upungufu wa mabenchi kwenye maeneo ya wachezaji kubadilisha nguo na kupumzika na eneo la kuchezea mpira kwenye maeneo ya magoli zilizopungua nyasi na akaagiza ndani ya siku saba warekebishe kasoro hizo.

"Msimamizi wa Uwanja huu tambua kuwa huu uwekezaji na kwenye biashara yoyote lazima uzingatie ubora wa huduma, sasa nakuagiza tumia vema wakati huu ligi imesimama kuboresha uwanja kwa kuondosha kasoro ndogondogo kama kurejesha mabenchi." Mhe. Mtanda.

Halikadhalika, Mkuu wa Mkoa ameishukuru Bodi ya Ligi nchini kwa usimamizi mzuri wa michezo na ameahidi Serikali kuendelea kushirikiana na mamlaka husika nchini katika kuendeleza mchezo wa soka.

Awali, Mratibu Mkuu wa michezo ya ligi Mkoa Bwana Goodluck Nyawandi alibainisha kasoro nne za maji kuingia kwenye eneo la kupumzikia wachezaji, upungufu wa viti vya kudumu kwenye maeneo ya kupumzikia wachezaji na la watu mashuhuri na uwepo wa maji ya kudumu kwa matumizi ya kawaida.

Naye, Meneja wa Uwanja ndugu Hassan Ally amebainisha kuwa uongozi unaendelea kuboresha miundombinu hiyo na kwamba ndani ya juma moja watakamilisha ikiwemo uwekaji wa nyasi kwenye maeneo ya magoli ambazo zitawasili ndani ya siku 2 kutoka Arusha.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti