• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA ASISITIZA UIMARISHWAJI WA UMOJA NA MSHIKAMANO

Posted on: May 12th, 2025

RC MTANDA ASISITIZA UIMARISHWAJI WA UMOJA NA MSHIKAMANO


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa rai kwa jamii kuendeleza umoja na mshikamano kwa kuwa Taifa la Tanzania limejengwa kwa misingi ya umoja bila ya kutanguliza tofauti zilizopo miongoni mwa jamii zetu.

Mhe. Mtanda ametoa rai hiyo jioni ya leo Mei 12, 2025 alipokuwa akitoa salamu za Mkoa katika Ibada maalum ya kuliweka Wakfu jengo jipya la Kanisa la Waadventista Wasabato la Kirumba lililopo Wilaya ya Ilemela na kusema kuwa katika Tanzania hakuna dini, kabila au wananchi ambao ni bora kuliko wengine.

“Leo sote ni mashahidi shughuli hii ni ya Waadventista lakini pia masheikh na kofia zao wapo hapa, kwa nini? kwa sababu wao hawaoni kwamba ni bora kuliko nyie, hii ndio maana halisi ya mshikamano”.

Aidha Mkuu wa Mkoa ametoa wito kwa Viongozi wa Dini kwa nafasi kubwa waliyonayo katika kukuza amani na utulivu amewawasihi kuendelea kuisaidia Serikali katika kuhakikisha amani na utulivu unaendelea kulindwa hapa nchini.

Pia Mkuu wa Mkoa amewaomba Viongozi wa Dini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kuhimiza jamii kuzingatia kuwa na mienendo inayoendana na Utamaduni, mila na desturi za Kitanzania ili kuepuka mmomonyoko wa maadili katika jamii.

Mbali na hayo, Mhe. Mtanda ametoa pongezi kwa Kanisa hilo licha ya kuendelea kuwajenga na kuwasaidia Watanzania kiroho, wamekuwa pia wakiwasaidia kimwili kwa kuwawezesha kupata maji safi na salama, elimu na huduma za afya na kuwaomba pia kuisaidia Serikali katika kuboresha hali za kiuchumi za Waumini wao na Watanzania kwa ujumla.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti