• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA ATAKA TATHMINI KUBAINI THAMANI HALISI ENEO LINALOLALAMIKIWA NA THEREZA MABULA ILI KUPATA SULUHU

Posted on: June 11th, 2024

RC MTANDA ATAKA TATHMINI KUBAINI THAMANI HALISI ENEO LINALOLALAMIKIWA NA THEREZA MABULA ILI KUPATA SULUHU


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amemuagiza Kamishna wa Ardhi Mkoa kumuelekeza mthamini wa ardhi kufanya tathmini ya eneo linalolalamikiwa na Bi. Thereza Mabula lililopo mtaa wa Kanyerere ili kubaini kama baraza la ardhi la Wilaya lina mamlaka ya kusuluhisha kesi ya nsingi ya uvamizi

Mhe. Mkuu wa Mkoa ametoa agizo hilo leo Junu 11, 2024 alipofanya ziara kwenye eneo la Kanyerere wilaya ya Nyamagana ambapo alifanya mkutano na wananchi wa eneo hilo wapatao zaidi ya Kaya 200 wanaotakiwa kupisha kwenye eneo hilo kutokana na ushindi aliopewa Bi. Thereza mwaka 2017 na baraza la kata.

"Sheria za sasa za ardhi zimeondoa  mamlaka ya kuhukumu kwa baraza la ardhi la jata bali linatakiwa kusuluhisha tu na endapo watafikisha shauri kwenye ngazi ya Wilaya basi hukumu itatolewa kwa kesi isiyozidi madai ya milioni 300 lakini hapa kuna kazi ya kufanya." Mkuu wa Mkoa.

Aidha, ametoa wito kwa wananchi waliotakiwa kuondoka kwenye eneo hilo kwenda kwenye baraza la ardhi wapate ufafanuzi wa kisheria kama wanahusika na hukumu ya ushindi alioupata Bi. Thereza dhidi ya Bwana Paul Ngesera uliomtaka kuwaondoa wote kwenye eneo hilo au la.

Mwenyekiti wa baraza la ardhi la Wilaya Paulo Lekamoi amesema mgogoro huo wa ardhi ulianza kwenye kata mwaka 2009 kwa Bi Thereza kumlalamikia bwana Paul Ngesera kuvamia eneo lake Kanyerere ambapo mwaka 2017 kesi iliisha na alipewa ushindi na mwaka 2018 alifungua shauri baraza la ardhi na nyumba wilaya kwa ajili ya kukaza hukumu ya ushindi wa baraza la kata ambapo alipewa dalali kwa ajili ya kufanya utekelezaji.

Amefafanua kuwa, changamoto za utekelezaji wa agizo hilo lilikakwama maana tayari kulikua na makazi ya wananchi zaidi ya 200 ambapo ni ngumu kuwaondoa wote ili kumpatia eneo lake Bi Thereza kwani wengine hawakua ndani ya shauri lake na kupekekea Mhe. Waziri wa ardhi kumuagiza arudi mahakamani kiwashitaki wengine ili nao wasikilizwe.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti