• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA ATAKA VIFAA VINAVYOTOLEWA KWA JAMII VITUMIKE KUONGEZA UFANISI

Posted on: July 25th, 2025

“Mara nyingi mnavyopewa vifaa kama hivi mnavichukulia kama vifaa vyevu na sio vya umma hivyo ninawataka muende mkavitunze, nishati ya umeme wa jua mkatumie kwenye vituo vya afya na zahanati na sio kubandika majumbani kwenu”.

Ni kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda aliyoitoa leo Julai 25, 2025 wakati wa hafla fupi ta kukabidhi baiskeli 433 na mifumo ya umeme wa jua kwa ajili ya Vituo vya afya Mkoani Mwanza, huku akiwataka wanufaika kuvitumia kutekeleza majukumu yaliyokusudiwa na kutunzwa vizuri ili viendelee kutumika kuongeza ufanisi na utoaji huduma za afya.


Mhe. Mtanda amesema Baisikeli hizo zenye thamani ya Shilingi milioni 112,355,706 zinalenga kusaidia kuboresha utoaji huduma ikiwemo, ufuatiliaji na huduma kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI kutokana na umbali mrefu na wengine kushindwa kufika katika vituo vya afya.

“Baiskeli hizi zitatumika na wafanyakazi wa huduma za afya kufuatilia wateja ambao hawajahudhuria katika kituo cha afya, kusambaza dawa za ARV kwa wateja, kufanya upimaji wa virusi vya UKIMWI”.


Mifumo hii ya umeme wa jua yenye thamani ya Shilingi bilioni 1,559,715,171.65 itafikia zaidi ya vituo 110 katika Mkoa wa Mwanza ikiwa ni kuhakikisha nishati endelevu katika utoaji wa huduma za afya. Amesema Mkuu wa Mkoa.

Basikeli na vifaa vya umeme wa jua vilivyotolewa kwa ajili ya vituo vyetu vya afya mkoani Mwanza vimetolea shirika la ICAP kwa ufadhili wa CDC na PEPFAR vitakavyosaidia utekelezaji wa afua za UKIMWI mkoani Mwanza.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti