• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA ATAKA VITEKENDEA KAZI RUWASA VITUMIKE KUBORESHA HUDUMA ZA MAJI

Posted on: November 6th, 2024

RC MTANDA ATAKA VITEKENDEA KAZI  RUWASA VITUMIKE KUBORESHA HUDUMA ZA MAJI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said

Mtanda amemtaka Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) Mkoa wa Mwanza kutumia vitendea kazi vipya na vya kisasa vilivyotolewa kuboresha huduma za maji.

Mhe. Mtanda ametoa wito huo leo  Novemba 06, 2024 wakati akikabidhi magari 4 na pikipiki 4 vyenye thamani ya zaidi ya milioni 800 kwenye Ofisi za wakala huo Mkoa ambapo vitatumika kwenye ofisi za mameneja wa Wilaya za Kwimba,  Sengerema na Misungwi.

Amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha

wananchi wa vijijini wanapata huduma za maji safi kama wapatavyo kwenye maeneo ya miji na ndio maana wanaijengea uwezo RUWASA ili iweze kutekeleza miradi na kuwapatia wananchi huduma hiyo ni lazima watendaji wajitume.

Aidha, amebainisha kuwa tangu Rais Samia aingie madarakani kumekua na ongezeko la hali ya usambazaji maji vijijini kwa asilimia 4 na ni shabaha ya Serikali kuona ifikapo mwaka 2025 wanafikisha asilimia 85 kwa wananchi wa vijijini kama ilani ya CCM ya 2020-25 ilivyosema.

Halikadhalika, amewapongeza RUWASA mkoa huo kwa kufikisha asilimia 72 kwenye usambazaji maji kwa wananchi ambao ni 65% ya wakazi wote na amewasihi kutekeleza vema miradi yote zaidi ya 50 inayoendelea inayogharimu zaidi ya bilioni 146.

Meneja wa RUWASA Mkoa huo Godfrey Sanga ameishukuru Serikali kwa vitendea kazi hivyo na ameahidi kuvitumia kama ilivyokusudiwa na kwa hakika vitakwenda kuongeza huduma kwani vitasaidia kuifikia miradi katika usimamizi.

Aidha, amebainisha kuwa hapo awali walikua wanatumia fedha zaidi ya milioni 300 kukarabati magari chakavu 6 waliyokuwa nayo katika wilaya zote na kwamba kwa sasa ofisi imepata ahueni kwa kupata magari nadhifu na ya kisasa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti