• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA ATOA MUONGOZO NGUVU YA MALEZI NA UMUHIMU WA WAZAZI WOTE WAWILI KATIKA MAISHA YA MTOTO

Posted on: September 19th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesisitiza kuwa malezi bora ya mtoto hayawezi kufanikishwa na mzazi mmoja pekee, akibainisha kuwa ushirikiano wa karibu kati ya baba na mama ni nguzo muhimu katika kuhakikisha makuzi ya mtoto mwenye maadili, ujasiri na mafanikio ya baadaye.

Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo leo Septemba 19, 2025 alipokuwa katika Mahafali ya Kwanza ya Darasa la Saba na maonesho ya sayansi na ubunifu katika shule ya NEBRIX iliyopo Mtaa wa Chabakima Kata ya Shibula Wilaya ya Ilemela.

Mkuu huyo wa Mkoa ameeleza kuwa changamoto nyingi zinazowakumba watoto wa kizazi hiki zinachangiwa na ukosefu wa mshikamano wa kimalezi kati ya wazazi wawili, hali inayowafanya watoto kulelewa katika mazingira yasiyo na mwongozo thabiti.

“Siku hizi eti kuna Wazazi wanajiita single mothers, uongo mtupu, malezi ni ya wazazi wote wawili”.

Lakini pia Wazazi wa Kiume wamekuwa na shughuli nyingi wakisingizia wanatafuta pesa, sasa unakuta hawaweki dhamana ya kuwa karibu na watoto na mwisho wa siku fedha hawapati na ukaribu wa watoto haupo. Amesema Mkuu wa Mkoa.

Mhe. Mtanda ameeleza ni lazima Wazazi wote wawili kushirikiana katika kufuatilia mienendo na tabia za watoto ili kuwajengea msingi imara wa maisha yao ya baadae na kutatua changamoto zao wanapokumbana nazo kwa haraka ili wasikumbane na vishawishi.

“Mkiwa karibu na Watoto wenu mnaleta bondi, msipofanya hivyo upendo hauji, na ndio maana Wazazi wengi wanatekelezwa baada ya watoto wao kufanikiwa”. Ameongeza Mkuu wa Mkoa.

Mkuu wa Mkoa ametumia wasaa huo pia kuwataka Wazazi/Walezi kuhakikisha wanashiriki katika shughuli za uchaguzi mkuu kuanzia kampeni mpaka kushiriki zoezi la upigaji kura ifikapo Oktoba 29, 2025.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti