• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA ATOA SIKU 7 KWA WAKUSANYA USHURU MAGU KUWASILISHA FEDHA BENKI

Posted on: June 13th, 2024

RC MTANDA ATOA SIKU 7 KWA WAKUSANYA USHURU MAGU KUWASILISHA FEDHA BENKI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa muda wa Siku 7 kwa watumishi wanaokusanya mapato kwenye halmashauri ya Wilaya ya Magu kuhakikisha wanawasilisha fedha zaidi ya Tshs. Milioni 15 benki na wasipotekeleza hayo watawachukulia hatua za sheria.

Mhe. Mtanda ametoa agizo hilo leo Juni 13, 2024 wakati akizungumza na baadhi ya wazee, wadau wa maendeleo pamoja na watumishi wa Halmashauri na kubaini kuwa Halmashauri hiyo imekusanya mapato ya ndani kwa 87% tu kwa mwaka unaoishia Juni 30, 2024.

"Halmashauri yenu haifanyi vibaya lakini haijafikia malengo ya ukusanyaji wa wapato ya ndani, naelekeza siku chache zilizobakia halmashauri ifikishe asilimia mia na kwa wanaodaiwa zaidi ya milioni 15 ndani ya siku 7 wawasilishe benki fedha hizo." Mkuu wa Mkoa.

Mtanda amefafanua kuwa ili kutekeleza jambo hilo ni lazima kuwe na uzingatiaji wa sheria kwenye ukusanyaji pamoja na matumizi ikiwemo upelekaji wa fedha za mapato ya ndani kwenye miradi ya maendeleo ili wananchi wapate huduma za kijamii zilizoboreshwa.

Mhe. Joshua Nathari, Mkuu wa Wilaya ya Magu amesema hawajafika lengo la makusanyo ya mapato ya ndani kwani wamekusanya Tshs. Bilioni 3.7 ambayo ni asilimia 87 ya makadirio na kwamba wameweka mkakati wa kuzifikia 92 za kisheria za OR -TAMISEMI kupitia chanzo cha Stendi ya Kisesa.

Ameongeza kuwa, kwa mwaka 2023/24 wamepokea fedha nyingi za kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta za Afya, Elimu, Ardhi, kilimo, Miundombinu na kwamba nishati ya umeme imefika kwenye vijiji vyote (Gridi ya Taifa) kasoro kimoja tu na usambazaji maji inaridhisha sana.

Aidha Mhe. Mtanda amewataka wataalamu wa afya kuhakikisha wanasimamia uwepo wa madirisha ya wazee kikamilifu kwani sera ya nchi inaelekeza wazee watibiwe bure na wasitozwe chochote.

"Nataka kutoa onyo kwa wataalamu wa afya wanaowahudumia wazee na mwisho wa matibabu wanawaambia wakanunue dawa, ni marufuku kufanya hivyo kwani mnachotakiwa ni kukamilisha matibabu yao kwani Serikali inagharamia na tuweke madirisha maalumu kwa ajili yao." Amesisitiza Mkuu wa Mkoa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti