• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA ATOA SOMO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI MWANZA

Posted on: February 26th, 2025

RC MTANDA ATOA SOMO KWA MAAFISA USAFIRISHAJI MWANZA


Kaimu Katibu Tawala Msaidizi idara ya Uchumi na Uzalishaji Bw.Peter kasele amewataka Maafisa wasafirishaji wa mizigo na abiria mkoani Mwanza kufuata sheria za Ushirika.

Amesema hayo leo february 26, 2025 kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza katika ukumbi wa Victoria Palace katika hafla ya kukabidhi vyeti vya ushirika kwa kundi hilo (UWAMWA) kutoka ofisi ya Mrajisi ya Mkoa.

“Rai yangu kwa UWAMWA nawahimiza kuzingatia sheria na kanuni za Ushirika na sheria zingine za nchi, wataofanya ubadhirifu na kusababisha hasara katika vyama hivi hatua kali za zitachukuliwa dhidi yao”. Amesema Kasele.

Amezungumzia pia dhima ya Serikali katika kuhakikisha wanashirikiana kwa karibu na Wizara ya mifugo na uvuvi na benki ya maendeleo ya kilimo Tanzania ili kuinua uchumi na kijamii kwa wanachama.

Kwa upande wake mwakilishi wa Mrajisi Msaidizi Mkoa wa Mwanza Ndg. Leo Zephania amewapongeza viongozi waanzilishi kwa kazi nzuri waliofanya hadi kufanikisha usajili wa chama chao,amewataka viongozi waliochaguliwa kuzingatia sheria ya vyama vya Ushirika Na 6 ya mwaka 2023 na sheria nyingine za nchi katika kutekeleza majukumu yao.

Aidha amewashauri kuzitumia Ofisi za Ushirika wilaya na Mkoa kwa ushauri wa masuala ya uendeshaji wa chama chao,na pia amesisitiza suala la ushirikiano ndani ya chama pamoja na wadau wengine wa maendeleo kwa lengo la kuongeza ufanisi wa shughuli za chama.

Naye, mwakilishi wa mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini ( LATRA) Bi. Maria Chacha ameweka wazi dhamira na matarajio ya kufikisha huduma kwa 90% kidigitali mpaka 2026.

Vilevile, ameomba ushirikiano kwa wadau na madereva wote wa vyombo vya usafiri huku akiahidi Ushirika umekuja na jawabu la kuwapatia madereva mikataba ya kazi ili kuwawezesha kufanya kazi kwa weledi na uaminifu kwa sababu hapo mwanzo hapakuwa na mikataba jambo ambalo limesababisha kuwepo kwa migogoro mingi na kuibiwa kwa vyombo vingi vya usafiri.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti