• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWASHUKURU WANANCHI SENGEREMA KWA MAPOKEZI MAZURI YA KATIBU MKUU WA CCM

Posted on: August 14th, 2024

RC MTANDA AWASHUKURU WANANCHI SENGEREMA KWA MAPOKEZI MAZURI YA KATIBU MKUU WA CCM


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewashukuru na kuwapongeza wananchi wa Wilaya ya Sengerema kwa kujitokeza kwa wingi katika mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi aliyewasili Mkoani Mwanza kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

Mhe. Mtanda ametoa shukrani hizo wakati alipokuwa akitoa salamu za Serikali ya Mkoa katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya stendi ya zamani Wilayani Sengerema, RC Mtanda amesema ni heshima kubwa kwa wananchi hao ambao wamejitokeza ikiwa ni kuashiria kushukuru kwa yale mengi mazuri yaliyofanywa na Chama hicho.

Aidha, Mhe. Mtanda amemuhakikishia Katibu Mkuu huyo usalama wa hali ya juu kwa kipindi chote atakachokuwepo katika Mkoa huo yeye pamoja na msafara wake, na kumtoa hofu kuhusu hali ya vurugu kwani jeshi la polisi Mkoani humo limejipanga kuhakikisha usalama unaimarishwa kwa kipindi chote

"Nimesimama hapa pia kukuhakikishia Katibu Mkuu kwamba hali ya ulinzi na usalama katika Mkoa wa Mwanza ni shwari kabisa kabisa, wewe na msafara wako mtafanya kazi yenu ya kisiasa katika Mkoa huu bila tishio lolote". RC Mtanda.

Mkuu huyo wa Mkoa amesema serikali ya Mkoa wa Mwanza imejipanga kikamilifu kudhibiti vitendo vyovyote vinayoashiria uharibifu au uvunjifu wa amani, Aidha amemuomba Katibu Mkuu huyo kufikisha salamu  kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa ndani ya Mkoa wa Mwanza amefanya makubwa sana.

"...lakini niseme tu kwamba fedha za miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Mwanza katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wake ni zaidi ya tirioni 4.2 zimetumika kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo" amesisitiza Mtanda.

"Mhe. Balozi Nchimbi kesho kwa kuwa una mkutano mkubwa nitapata fursa ya kuainisha miradi mbalimbali ya kimkakati ambayo Rais wetu ameindeleza kwa mafanikio katika Mkoa wetu wa Mwanza. Ameongeza Mkuu huyo wa Mkoa.

Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa pia amemuhakikishia Katibu Mkuu huyo kuwa Chama cha Mapinduzi kuwa wanayo imani kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa hali ya usalama itakua kubwa na wananchi watashiriki kikamilifu katika uchaguzi huo bila wasiwasi wowote ule.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti