• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWASIHI TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA KAMATI ZA MAADILI

Posted on: May 13th, 2024

RC MTANDA AWASIHI TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA KAMATI ZA MAADILI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili ya Maafisa wa Mahakama Mkoa Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa Tume ya Utumishi wa Mahakama nchini kutoa ushirikiano wa dhati ili kuimarisha Kamati za Maadili katika ngazi zote.

Mhe. Mtanda ametoa wito huo leo Mei 13, 2024 wakati akitoa neno la ufunguzi katika mafunzo ya wajumbe wa Kamati za Maadili kwa Maafisa wa Mahakama Mkoani Mwanza yatakayodumu kwa siku mbili.

"Tume ya Utumishi wa Mahakama tunaisikia, tunaomba ushirikiano wenu wa dhati ili tuwe na uelewa wa pamoja katika shughuli za kila siku pamoja na kuimarisha Kamati za Maadili za Wilaya na hata ngazi ya Mkoa." Mhe. Mtanda.

Aidha, ametoa wito kwa taasisi hiyo kuhuisha mfumo wa utendaji wa Kamati za maadili ili kuzipa uhai kwa kuzingatia ratiba za shughuli zilizopangwa kwa mwaka ili kuhakikisha kunakua na vikao vya kisheria na kusaidia kusambaza uelewa wa pamoja kwa jamii.

Mtanda amesema, Kamati za Maadili zinasaidia sana kuijenga jamii kwa kutumia viongozi wa kisiasa hususani wakuu wa Wilaya ambao mara zote wamekua wakikutana na wananchi kwenye shughuli mbalimbali.

Naibu Katibu wa Tume (Maadili na Nidhamu) Alesia Mbuya amesema pamoja na mafunzo hayo Tume hiyo imekuja kuhuisha ushirikiano na kuzikumbusha Kamati za Maadili wajibu wao wanaopaswa kufuata kila wakati.

Vilevile, amebainisha mafanikio waliyopata Tume hiyo hususani kujenga uelewa kwa jamii wa masuala mbalimbali ya kimahakama na sheria na kutoa usaidizi kwenye uteuzi wa Majaji wa Mahakama kuu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti