• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA SHIMIWI KUTATUA MIGOGORO KUPITIA VIKAO

Posted on: September 16th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka Sekretarieti ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kutatua migogoro yao kupitia vikao ili kuboresha zaidi mashindano hayo.

Mhe. Mtanda ametoa wito huo leo Septemba 16, 2025 katika uwanja wa Mpira wa CCM Kirumba wilayani Ilemela alipokua akifunga rasmi mashindayo hayo mwaka 2025 yaliyodumu kwa takribani siku 16 za mitanange kupitia michezo mbalimbali.

Amesema, wanapohitimisha michezo hiyo wahakikishe wanaketi pamoja na kushughulikia mapungufu yaliyojitokeza na kuyatatua ili kwenye michuano ijayo kuwe na ufanisi zaidi badala ya kukutana wakiwa na migogoro ambayo huathiri michezo.

Aidha, amewataka watumishi mbalimbali kujisajiri kwenye mfumo rasmi wa wanamichezo chini ya usimamizi wa sekretarieti ya SHIMIWI ili kuwa na kanzifata maalumu ya wanamishezo na kuweza kuhuisha kila wakati vinapotokea vipaji.

Vilevile, ametoa wito kwa shirikisho hilo kuhakikisha wanahusisha watu wenye ulemavu ambao wapo kwenye utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria na kushirkiana na wizara mama ya michezo katika kulinda na kuboresha miundombinu ya michezo.

Kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bi. Savera Slavatory ambaye ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu wa wizara hiyo amesema wanamichezo 3165 wameshiriki mashindano hayo kutoka kwenye vilabu 65 kwa muda wa siku 16 kwa mafanikio makubwa.

Aidha, ameahidi kuwa wizara hiyo itasimamia haki wakati wote kwa kuhakikisha sheria zinafuatwa na ameitaka sekretarieti ya SHIMIWI kurekebisha makosa madogo yaliyojitokeza kwa ajili ya kujifunza kwa michuano ijayo na akatoa rai kwa waajiri kuhakikisha wanapeleka watumishi kwenye michuano hiyo.

Awali uwanjani hapo, Mkuu wa Mkoa ameshuhudia fainali kwa michezo ya kuvuta Kamba ambapo Ofisi ya RAS Tanga wamewabwaga TAKUKURU kwa Wanawake huku OR- IKULU wamewapiga TAKUKURU wanaume. Na Mshindi wa jumla SHIMIWI 2025 ni TAKUKURU.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti