• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA SUNGUSUNGU KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA

Posted on: February 20th, 2025

RC MTANDA AWATAKA SUNGUSUNGU KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA SHERIA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka askari Jamii wa Jeshi la Jadi (Sungusungu) Mkoani humo kufanya kazi zao kwa kuzingatia misingi ya haki na sheria pasipo kumuonea mwananchi yoyote.

Mhe. Mtanda ametoa maagizo hayo leo Februari 20, 2025 kwa nyakati tofauti tofauti alipokuwa akizungumza na Sungusungu Wilayani Kwimba ambapo amesema ameamua kufanya ziara hiyo maalumu kwa lengo la kuona shughuli zinazofanywa na jeshi hilo la jadi.

Aidha, Mkuu wa Mkoa amelipongeza jeshi hilo kwa kuwa walinzi imara wa raia na mali zao lakini kubwa zaidi kwa kusaidia pia katika ulinzi wa mifugo ambapo kwa kiasi kikubwa wizi wa mifugo kwa maeneo ya vijijini umepungua kutokana na uimara wa Sungusungu.

Ikumbukwe pia jeshi hilo la jadi katika sherehe za kilele cha mbio za mwenge wa Uhuru Kitaifa zilizofanyika Mkoani Mwanza Oktoba 14, 2024 jeshi hilo likinogesha zaidi sherehe hizo kwa kuhudhuria kwa wingi na gwaride la kipekee, Mhe. Mtanda ametumia wasaa huo pia kuwapongeza kwa ushiriki wao.

“Nimekuja pia kuwapongezeni na niwahakikishie Rais Dkt. Samia anawatambua na aliwaona siku ile ya kilele cha mbio za Mwenge mwaka jana pale CCM Kirumba hivyo endeleni kuchapa kazi”. Mtanda.

Mkuu wa Mkoa amesema pia lengo lingine la ziara hiyo ni kuja kujionea maendeleo ya sungusungu ambapo kwa hapo baadae amepanga kufanya tamasha kubwa ambalo litalenga kujadili na kutoa elimu ya uchaguzi, usalama kueleka kipindi cha uchaguzi pamoja na michezo na burudani.

Mkuu wa Mkoa ametembelea na kufanya mkutano na Sungusungu katika maeneo mbalimbali ya Wilaya Kwimba akiwakumbusha pia umuhimu wa kutunza amani katika maeneo yao na Taifa kwa jumla.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti