• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA ILEMELA NYAMA CHOMA FESTIVAL KUKUZA BIASHARA

Posted on: November 16th, 2024

RC MTANDA AWATAKA WANANCHI KUTUMIA ILEMELA NYAMA CHOMA FESTIVAL KUKUZA BIASHARA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Novemba 16, 2024 amezindua tamasha la Ilemela nyamachoma na amewataka wafanyabiashara kutumia fursa hiyo kukuza mitaji na kipato cha biashara zao.

Amesema wananchi hawana budi kulitumia eneo hilo kujenga mahusiano mema na yenye tija kibiashara na liwe eneo mashughuli kwa nyama choma, vyakula vingine na vinywaji na kupumzika ambapo litasaidia kukuza utalii.

"Huu ni mwanzo, matarajio ni kuboresha zaidi eneo hili na siku za usoni tutakua na nyama choma, muziki mubashara na pombe na Nyamhongolo itakua maarufu kwa shughuli hizi na wageni wakifika Mwanza watajua eneo rasmi ni hapa."

Aidha, amebainisha kuwa uwepo wa shughuli rasmi wakati wote kwenye eneo hilo utasaidia pia kujenga jamii ya Mwanza kimaadili kwa kulitumia eneo hilo kujengana katika makundi mbalimbali ya kijasiriamali.

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela Bi. Ummy Wayayu amesema kwa kushirikiana na wadau wataendelea kuboresha eneo hilo na kwamba uwepo wa Nyama choma utasaidia wananchi kupata sehemu ya kupoteza mawazo.

Naye, Mbunge wa Ilemela Mhe. Dkt. Angelina Mabula ametumia wasaa huo kumpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo kwa ubunifu ambao amebainisha kuwa tamasha hilo litasaidia kukuza mapato ya halmashauri.

Aidha miongoni mwa maoni mengi ya wadau wa nyama choma  wameomba kuboreshewa miundombinu ya eneo hilo ili liweze kuwa bora zaidi na vyombo vya habari kuendelea kulitangaza tamasha hilo ili lizidi kuwa kubwa zaidi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti