• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AWATAKA WATUMISHI KUCHAPA KAZI, KUACHA UBADHIRIFU FEDHA ZA UMMA

Posted on: June 10th, 2024

RC MTANDA AWATAKA WATUMISHI KUCHAPA KAZI, KUACHA UBADHIRIFU FEDHA ZA UMMA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda leo Juni 10, 2024 amezungumza na watumishi wa Halmashauri na taasisi mbalimbali wilayani Sengerema na ametumia wasaa huo kuwataka kuchapa kazi kwa bidii na kutofanya ubadhirifu wa fedha za umma.

Amesema siku za nyuma Halmashauri hiyo ilikua na doa la kutosimamia vema miradi ya maendeleo na kukiuka taratibu za utumishi wa umma na kupelekea kupata hadi Hati zenye mashaka kutoka kwenye ripoti za ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali.

"Ni lazima tuchape kazi kwa moyo na si kwa sababu tunalipwa mshahara bali tufanye kazi kama Ibada kwa kuwatumikia wananchi kwa moyo wa upendo na tutapata thawabu kwa Mwenyezi Mungu, hivyo tuwe na huruma tunapowapokea wananchi kwenye ofisi zetu." Mkuu wa Mkoa.

Aidha, ametaka kuwepo kwa nidhamu kazini kwa kuwahi kufika, kufanya majukumu na kutekeleza maelekezo ya viongozi na kwamba mtumishi akifanya vinginevyo basi atakua mtovu wa nidhamu kwani malengo ambayo Serikali inategema yatimizwe hayatofikiwa.

Hali kadhalika, amesisitiza suala la ushirikiano na uhusiano wa kikazi baina ya ofisi na ofisi lakini pia watumishi ndani ya ofisi ili kuwa na maelewano mazuri na kuhakikisha wanafanya kazi kwa pamoja ili kujenga taswira njema kwa wananchi wanaohudumiwa.

"Kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2023/24  wilaya iliidhinishiwa kukusanya kiasi cha Tshs. 6,175,910,555 na hadi kufikia  Mei mwaka huu wilaya imefanikiwa kukusanya Tshs. 695, 335,706 sawa na asilimia 98.69 hata hivyo mapato ya Halmashauri zote yamekua yakiongezeka." Mhe. Senyi Ngaga, Mkuu wa Wilaya.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti