• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AZINDUA BODI YA PAROLE YA MKOA

Posted on: September 12th, 2024

RC MTANDA AZINDUA BODI YA PAROLE YA MKOA


Leo Septemba 12, 2024 Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amezindua bodi ya parole ya Mkoa huo kupitia kikao kilichofanyika kwenye gereza la Mkoa la Butimba lililopo Kata ya Butimba Wilayani Nyamagana.

Akiongea na wajumbe wa bodi hiyo Mhe. Mtanda amewataka kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya bodi ya Parole nchini ili kutenda haki katika maamuzi ya kupendekeza kwa wafungwa wanaopaswa kupewa msamaha na kupunguziwa adhabu

Amesema, utaratibu wa msamaha kwa wafungwa unaotolewa na Mhe. Rais una vigezo vyake na zinapaswa kufuatwa ikiwemo taarifa ya magereza dhidi ya wafungwa husika na siyo kuwaachia kwakua kuna msongamano gerezani.

Aidha, ameipongeza bodi hiyo kwa kuwa na wajumbe kutoka maeneo kadhaa ya kisheria kama jeshi la polisi na ofisi ya mashtaka huku akibainisha kuwa itasaidia kupata vielelezo vinavyohitajika kwa wakati pindi vinapohitajika kwa ajili ya msamaha.

Naye Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza Masudi Juma Kimolo amesema kuaminiwa kwa wajumbe hao na waziri wa Mambo ya Ndani kuendane na kuwajibika na kuisaidia Serikali kubaini wafungwa wenye sifa ya kuachiwa kutokana na kukidhi sifa na si vinginevyo.

Aidha, ameitaka bodi hiyo iliyoteuliwa rasmi Januari 1, 2024 ilenge kusaidia juhudi za Serikali kupunguza msongamano magerezani, kurekebisha sera kutunza nidhamu na kurekebisha wahalifu kwenye magereza yote Mkoani Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti