• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AZINDUA RASMI BODI YA USHAURI HOSPITALI YA SEKOU TOURE,AHIMIZA MABORESHO

Posted on: December 14th, 2024

RC MTANDA AZINDUA RASMI BODI YA USHAURI  HOSPITALI YA SEKOU TOURE,AHIMIZA MABORESHO


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe: Christopher Ngubiagai amezindua rasmi Bodi ya ushauri ya Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mwanza Seko Toure na kutoa rai kwa wajumbe wa bodi  hiyo wazingatie mikakati na maamuzi yanayolenga kuboresha huduma, kuwakilisha maslahi ya wananchi Kwa uwazi na uadilifu na kuhakikisha rasilimali za Hospitali zinatumika Kwa njia bora.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza comrade Ngubiagai amebainisha ni wajibu wa Bodi hiyo ya Afya  kuhamasisha uwekezaji katika mifumo ya kidigitali, kuanzisha programu ya mafunzo Kwa watoa huduma,kukuza ushirikiano na wadau wa sekta ya afya na Kuboresha ufanisi wa kuongeza mapato ya Hospitali.

"Tumeona juhudi za Serikali namna inavyoboresha sekta ya afya,miradi mingi imeletwa mkoani Mwanza na hospitali hii sasa inatoa huduma nyingi za kibingwa,tunapaswa kuunga mkono juhudi hizi kwa kuleta ubunifu zaidi wenye tija,"amesisitiza mkuu huyo wa wilaya wakati wa hotuba yake ya uzinduzi wa bodi hiyo ya ushauri.

Ameongeza kuwa kupitia Bodi ya ushauri yenye wataalam wa sekta ya afya ni wajibu wao kuhakikisha wanaleta mageuzi chanya kwa kuimarisha usimamizi wa rasilimali, ufuatiliaji, uwajibikaji wa watendaji na kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma bora.

Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure Bw. Alhaji Sibtain Meghjee amesema uzinduzi wa Bodi hiyo utakuwa na kielelezo tosha cha kuimarisha na kuboresha huduma na wananchi watapata huduma bora na kwa wakati

Katika hatua nyingine Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekoutoure Dkt.Bahati Msaki amemshukuru mgeni rasmi  kwa kuzindua Bodi ya Ushauri ya Hospitali na kuahidi  kutoa ushirikiano kati ya bodi hiyo na watumishi wa Hospitali ya Sekoutoure ili kuendelea kuboresha huduma za afya

Sanjali na uzinduzi huo pia Mkuu huyo wa wilaya na wajumbe wa bodi walifanya ziara na kukagua huduma mbalimbali zitolewazo Hospitalini hapo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti