• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA AZITAKA HALMASHAURI KUTUMIA MAPATO YA NDANI KUTEKELEZA MIRADI

Posted on: July 28th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amezitaka Halmashauri za Mkoa huo kurejesha fedha za mapato ya ndani kwa wananchi kwa kuwajengea miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali kwenye vijiji.

Amesema sheria zinaelekeza kutumia asilimia 40 ya makusanyo ya ndani kutekeleza miradi katika sekta za afya, kilimo, uvuvi, afya, elimu na miundombinu ikiwa ni katika kurejesha fedha kwa wananchi kwani vyanzo vya makusanyo ya fedha hizo ni pamoja na ushuru utokanao na mazao.


Mhe. Mtanda ametoa kauli hiyo Wilayani Misungwi alipokua akikagua miradi ya maendeleo na kubaini kuwa halmashauri nyingi wanatekeleza miradi mingi kwa kutumia fedha kutoka serikali kuu zaidi ya zinazotokana na mapato ya ndani.

Aidha, amewapongeza halmashauri hiyo kwa kutumia kiasi cha Tshs. Milioni 50 kutoka kifungu cha mapato ya ndani ambazo zimejenga madarasa mawili katika shule ya sekondari ya Jitihada na kusaidia kupunguza msongamano wa wanafunzi darasani.


Kadhalika, ameiagiza Halmshauri ya Wilaya ya Misungwi kukamilisha Zahanati ya kijiji cha Nyamikoma (Tshs. 107 M), mradi wa upanuzi wa mtandao wa maji safi (Tshs.188 M) pamoja na barabara ya kiwango cha lami Majengo (Tshs.411 M) ili ianze kutoa huduma.


Mhe. Mkuu wa Mkoa amehitimisha ziara yake kwa kukagua ujenzi wa shule ya sekondari ya Mwasonge inayojengwa kwa zaidi ya Tshs. Milioni 715 na ameagiza mkandarasi kuweka madirisha ya vioo haraka ili kuzuia rangi kwenye madarasa kupata vumbi pamoja na vyoo ili wanafunzi wasipate magonjwa ya mlipuko.


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti