• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC MTANDA MBIONI KUWAKUTANISHA MAAFISA USAFIRISHAJI NA TAASISI ZA KIFEDHA

Posted on: September 25th, 2024

RC MTANDA MBIONI KUWAKUTANISHA MAAFISA USAFIRISHAJI NA TAASISI ZA KIFEDHA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewahakikishia kuwakutanisha na taasisi za fedha mara watakapokuwa tayari Maafisa usafirishaji wa Bajaj na Bodaboda baada ya kuweka bayana changamoto za kuendesha shughuli zao na wamiliki wa vyombo wanavyotumia.

Akiwa katika zoezi la kuzungumza na makundi mbalimbali leo Septemba 25,2024 kwenye viwanja vya Furahisha ikiwa zamu ya kundi hilo, Mhe. Mtanda amebainisha lengo la Serikali ya awamu ya sita ni kuona wanaojiajiri wanafanya shughuli zao kwa tija.

Amesema Serikali inatambua mchango wa maafisa usafirishaji hao katika kujenga uchumi wa nchi hivyo atahakikisha changamoto zinazowakabili zinafikishwa kwenye Taasisi za kifedha ili ufumbuzi wa kuwakwamua upatikane.

"Sasa mjipange na kuniambia lini mtakuwa tayari ili niwaitishie mkutano na Taasisi za fedha ili mzungumze yote ya yanayowakwamisha",Mkuu wa Mkoa.

"Ndugu yetu Mkuu wa Mkoa awali ya yote tumefarijika kuja kuzungumza nasi,wengi tumeingia mikataba ya kuendesha vyombo hivi na wamiliki ili baadaye viwe chini yetu, lakini tunajikuta tukilipa fedha nyingi kuliko Ile bei halisi na wengine wakishindwa na kuingia katika migogoro,"Zakayo Mashamba,Katibu chama cha Maafisa usafirishaji.

Katika mkutano huo Mkuu huyo wa Mkoa amewakumbusha umuhimu wa  kushiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa Novemba 27 mwaka huu na kujiandikisha pia kwenye daftari la kudumu la kupiga kura kuanzia Oktoba 11 hadi 20.

Aidha  amewataka kuendelea kuilinda na kuitetea amani yetu kwa kutokubali kutumika kisiasa na badala yake kuchapa kazi na kushirikiana na vyombo vya usalama pindi waonapo dalili au mtu yoyote anaetaka kuivunja amani yetu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti