• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Mwanza ahaidi kuendelea kushirikiana na Vyombo vya Habari katika kuuletea Maendeleo Mkoa huo

Posted on: June 4th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Mhandisi Robert Gabriel ameahidi kuendelea kushirikiana na Vyombo vya Habari katika kuuletea Maendeleo Mkoa huo.


Mhe Gabriel amesema hayo katika hafla ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari ambayo ki-Mkoa yamefanyika Juni 3 Jijini Mwanza na kusisitiza Vyombo vya Habari ni nguzo muhimu nchini katika kuelimisha,kuhabarisha na kuburudisha.


"Mwanza ni Mkoa wa Kimkakati tuna Miradi mingi yenye lengo la kuwaletea Maendeleo Wananchi hivyo mchango wa Vyombo vya Habari hapo unahitajika ili Umma ujue kinachoendelea kwa faida yao" Mkuu wa Mkoa.


Aidha Mkuu wa Mkoa amewakumbusha Waandishi wa Habari kutokubali kuyumbishwa na wachache wenye maslahi yao binafsi badala yake kuzingatia misingi ya Taaluma yao.


"Kalamu yenu ni muhimu sana ikienda tofauti madhara yake ni makubwa angalieni wenyewe baadhi ya machafuko yaliyotokea na yanayojiri sasa kwa baadhi ya Mataifa mengine yamechangiwa na Wananchi kupotoshwa na kuzua ghasia" amesema Mhe Gabriel.



Katika hafla hiyo Mhe Gabriel pia amezindua Akaunti Maalum ya Chama cha Waandishi wa Habari Mwanza,MPC iliyopo Benki ya Mkombozi kwa lengo la kuchangia ujenzi wa Ofisi ya Chama hicho.


Mwenyejiti wa Chama cha Waandishi Mwanza,Edwin Soko amesema kwa muda wa miaka mitatu wamekuwa wakifanya Maadhimisho hayo Kanda ya Ziwa na yamekuwa na faida kubwa kutokana kupata wasaa wa kukutana na Wadau mbalimbali na kujenga mshikamano wa pamoja.

Amesema mkakati uliopo sasa ni kuyafanyia Maadhimisho hayo Kitaifa na kuweka sasa mkazo katika kuutangaza Mkoa wa Mwanza katika Sekta zote vikiwemo vivutio vyake vya kitalii.


Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yamefanyika Kitaifa Mei 27 Mkoani Arusha na Mwanza walilazimika kuyasogeza mbele hadi Juni 3 kuyapisha ya Kitaifa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti