• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Mwanza awahakikishia Viongozi wa Dini ushirikiano katika Maendeleo na kudumisha amani

Posted on: July 20th, 2022


Amebainisha hayo leo Julai 19, 2022 Jijini humo wakati akifungua Mafunzo ya Viongozi wa Dini ya kujengeana uwezo katika kulinda na kudumisha amani yaliyoandaliwa na Kamati ya Amani.

"Tuendelee kushikamana kwa pamoja na msingi huu umezidi kuwa chachu ya Maendeleo miongoni mwa Jamii na hata kunapotokea sintofahamu utatuzi unapatikana haraka kutokana na msingi imara tulioujenga" amesema Mkuu wa Mkoa

Aidha, amewakumbusha  Viongozi hao kuendelea kumuombea Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kuisimamia na kuiongoza vyema nchi yetu kwani jukumu alilonalo ni zito na linahitaji maombi ya mara kwa mara.

Awali akizungumzia mafunzo hayo Mwenyekiti Mwenza wa Kamati hiyo Askofu Charles Sekelwa amebainisha huo ni muendelezo wa majukumu yao ya kuhakikisha Viongozi wanapata msingi mzuri wa kuendeleza amani katika maeneo yao.

Naye, Sheikh Hassan Kabeke ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya Amani Mkoa amesema Kwa kutambua umuhimu wa Amani na Maendeleo miongoni mwa Jamii wataendelea kushirikiana na Serikali katika shughuli za maendeleo.

Mkurugenzi wa Taasisi ya kujenga Amani ambao pia ni wawezeshaji wa Mafunzo hayo Canon Goda amesema Taasisi hiyo imekuwa mstari wa mbele kutoa elimu hiyo hapa nchini kwa muda mrefu kabla na baada ya kusajiliwa na kumekuwa na matokeo chanya.

Mafunzo hayo ya siku mbili yamewashirikisha Viongozi wa Dini kutoka Mikoa yote ya Kanda ya Ziwa ukiwemo na Shinyanga.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti