• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RCMalima azungumza na Wazee wa Mwanza awaambia umuhimu wao na kuwahakikishia huduma bora

Posted on: December 28th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amewahakikishia wazee mkoani humo kuwa Serikali itaendelea kuboresha maisha yao kupitia huduma bora za jamii kwa ajili ya ustawi wa maisha yao.

Amebainisha hayo leo jumatano disemba 28, 2022 kwenye mkutano wake na Umoja wa wazee Mkoa wa Mwanza uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa ukiwakutanisha wazee hao na Maafisa Ustawi wa jamii kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero za wazee.

"Serikali ya Rais Samia inawathamini sana wazee na Mkoa wetu unahitaji sana busara zenu na ndio maana tupo na Mganga Mkuu hapa ambaye anahakikisha mnapata huduma bora za Afya na hata Elimu bora kwa vijana na wajukuu zenu, Maji safi na salama pamoja na pembejeo za kilimo." Amesema Malima.

Vilevile, ametoa wito kwa wazee kuboresha sifa na masharti ya kujiunga na chama hicho ili waweze kupata wanachama hodari zaidi katika kuwasemea na wenye uwezo wa kubuni miradi itakayowainua kwenye uimarishaji wa huduma za kijamii.

Halikadhalika, ametumia wasaa huo kuvipongeza vyombo vya Ulinzi kwa kuimarisha Usalama kwa wananchi mkoani humo na kufanya wananchi waweze kuishi kwa furaha na amani wakati wakiendelea kwa shughuli zao uzalishaji.

Mwenyekiti wa wazee Mkoa wa Mwanza, Charles Masalakulangwa amesema wamefungua akaunti maalumu ya chama cha wazee mkoani humo ili kukiimarisha chama hicho chenye lengo la kulizungumzia kundi hilo ili liweze kustawi zaidi.

Katibu Msaidizi wa Umoja wa wazee Mkoani humo, Mzee John Mganga amesema umoja huo unaipongeza serikali ya awamu ya Sita kwa Utekelezaji wa Miradi ya kimkakati na kwa kipekee wamempa pongezi Rais Dkt. Samia kwa kuvitangaza vivutio vya Utalii kwa kupitia filamu ya Royal Tour.

Mzee Paulo Sospeter ametoa rai kwa Serikali kusimamia Mapato yatokanayo na machimbo ya dhahabu kwenye kata ya Mpamwa wilayani Kwimba ili yasipotee bali yawe manufaa kwa wananchi kupitia kuliingizia Taifa mapato halali.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti