• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RMO MWANZA AKAGUA UJENZI WA KITENGO CHA WATOTO NJITI KWIMBA

Posted on: August 5th, 2025

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dkt. Jesca Lebba, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza leo tarehe Agosti 5, 2025, amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Kitengo cha Huduma kwa Watoto Wachanga (Neonatal Care Unit - NCU) katika Hospitali ya Wilaya ya Kwimba.



Akizungumza katika ziara hiyo Dkt. Lebba amesema kuwa ujenzi wa kitengo hicho ni hatua mahsusi katika kukabiliana na changamoto ya vifo vya watoto njiti ambao wengi wanapoteza maisha kutokana na ukosefu wa huduma maalum, vifaa tiba vya kisasa pamoja na uhaba wa wahudumu waliobobea katika afya ya watoto wachanga.


“Ujenzi wa Kitengo cha Huduma kwa Watoto Wachanga ni hatua muhimu sana katika kupambana na changamoto ya vifo vya watoto njiti,” amesisitiza Dkt. Jesca.



Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Mhe. Ng’wilabuzu Ludigija, ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kwa juhudi madhubuti katika kuimarisha sekta ya afya, hasa katika maeneo yanayolenga kupunguza vifo vya mama na mtoto.



Naye, Mkurugenzi na Mwanzilishi wa Doris Mollel Foundation Bw. Antonio Luis ameishukuru Wilaya hiyo kwa kuipokea taasisi hiyo na kuwapa nafasi ya kutimiza ndoto ya kuokoa maisha ya watoto wachanga, hasa wale wanaozaliwa kabla ya muda.


Mradi huo unatekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Taasisi ya Doris Mollel Foundation ukiwa na lengo la kuongeza uwezo wa kutoa huduma bora kwa watoto wachanga, hususani wanaozaliwa kabla ya muda (njiti) ikiwa ni mwendelezo wa jitihada za Serikali katika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto.



Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti