• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

SERIKALI IMETENGA SHS BILIONI 972 KUJENGA KAMPASI ZA VYUO VIKUU NCHI NZIMA- WAZIRI MKENDA

Posted on: December 13th, 2024

SERIKALI IMETENGA SHS BILIONI 972 KUJENGA KAMPASI ZA VYUO VIKUU NCHI NZIMA- WAZIRI MKENDA


Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omari Kipanga amesema Serikali imetenga jumla ya shs bilioni 972 kwa ajili ya kujenga Kampasi ya vyuo vikuu mikoani kote lengo likiwa kuwasogezea karibu wananchi huduma ya elimu ya juu na kuharakisha kasi ya maendeleo nchini.

Akizungumza mapema leo Disemba 13, 2024 kwa niaba ya Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia katika mahafali ya 18 duru ya pili kwa wahitimu wa Taasisi ya Teknolojia Dar e-s-Salaam Kampasi ya Mwanza iliyofanyika kwenye ukumbi wa Rock City Mall wilayani Ilemela, Naibu Waziri Mhe. Omari Kipanga amebainisha tayari Mwanza Kampasi ya chuo cha ardhi kipo mbioni kujengwa huko wilayani Sengerema.


Amesema mpango huo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na wao kama wizara wana wajibu wa kusimamia na kuhakikisha vyuo hivyo vinakamilika kwa ubora na wakati.

"Hizi fedha zitakwenda kuboresha maeneo mengi ikiwemo mfumo wa Tehema, wahadhiri wa vyuo vya Serikali na binafsi watapata nafasi ya kusomeshwa na maeneo mengine mengi muhimu, "Naibu Waziri

Aidha ameipongeza Taasisi ya Teknolojia Dar-s-Salaam DIT Kampasi ya Mwanza kwa kuendelea kuzalisha wataalamu ambao wameleta maendeleo chanya katika sekta ya viwanda na Serikali imewekeza kwenye Taasisi hiyo ili izidi kuwa mahiri katika utafiti na kuwa na wataalam bora wa ngozi.

Akitoa salamu za Mkoa wa Mwanza kwa niaba ya Mkuu wa mkoa,mkuu wa Wilaya ya Ukerewe comrade Christopher Ngubiagai amebainisha kutokana na mkoa huo kuwa eneo la kimkakati uwekezaji wa Elimu ya juu ni lazima upewe kipaumbele.

"Nichukue fursa hii niwapongeze wahitimu wetu,nawasihi sana muwe mabalozi wazuri wa mageuzi ya kiuchumi hasa katika eneo la viwanda ili mliletee Taifa maendeleo",Ngubiagai.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti