• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

SERIKALI IMETOA BILIONI 31.5 UJENZI WA KITUO CHA KULEA VIPAJI VYA MICHEZO MALYA: RC MTANDA

Posted on: May 10th, 2024

SERIKALI IMETOA BILIONI  31.5 UJENZI WA KITUO CHA KULEA VIPAJI VYA MICHEZO MALYA: RC MTANDA


Rai imetolewa kwa wanamichezo kuendelea kuzichangamkia fursa mbalimbali kwenye sekta hiyo kutokana na Serikali kuzidi kuboresha miundombinu  kwa ujenzi wa kituo kipya cha kulea vipaji vya michezo chenye gharama ya shs bilioni 31.5 kinachojengwa katika Chuo cha Maendeleo ya Michezo MALYA.

Akizindua jioni hii mbio za Transec Lake Victoria Marathon, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Said Mtanda amesema jitihada za Serikali ya awamu ya sita ya kuboresha sekta ya michezo ina lengo la kuhakikisha tunakuwa na wanamichezo bora.

"Niwapongeze waandaaji wa mbio hizi zenye lengo la kuutangaza utalii ndani ya ziwa Victoria,ni dhahiri mnamuunga mkono kwa vitendo Rais wetu ambaye ameonesha nia ya kuinua michezo hapa nchini," Mkuu wa Mkoa

Amesema sekta ya Utalii ina mchango wa asilimia 17 katika pato la Taifa,na Mwanza imejaliwa kuwa na vivutio vingi vya utalii ambavyo havina budi kutangazwa kwa njia mbalimbali.

"Tumeshuhudia Rais wetu akiutangaza utalii wetu kupitia filamu ya Royal Tour na sasa idadi kubwa ya watalii wanakuja nchini,naamini tukizidi na sisi kutangaza vivutio vilivyopo hapa tutapokea watalii wengi,"RC Mtanda.

Mratibu wa mbio hizo Halima Chake amesema huu ni mwaka wa nne wanaofanya mashindano hayo ambayo yamezidi kuwa na mwamko kwa Jamii

"Mhe.Mkuu wa Mkoa tumepanga sehemu ya mapato kupitia mbio hizi kuwanunulia taulo za kike wasichana 500 waishio katika mazingira magumu wilayani Ukerewe"Mratibu

Mbio hizo zitakazo anza kutimua vumbi Juni 30 mwaka huu ni za km 2.5 zitakazo wahusu watoto chini ya miaka 10,km 5 mshiriki yoyote, na km 10 hadi 21 kwa wale wazoefu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti