• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WANAOKIUKA SERA YA CHAKULA SHULENI

Posted on: July 31st, 2024

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WANAOKIUKA SERA YA CHAKULA SHULENI


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amewataka Wakuu wa Shule, Maafisa Elimu Kata na Viongozi wote wanaratibu na kusimamia sera ya chakula shuleni kuhakikisha wanaiendeleza sera ya kutoa chakula kwa wanafunzi pindi wawapo shuleni na wale ambao wanakiuka kampeni hiyo basi taarifa zitolewe ili waweze kuchukuliwa hatua.

Balandya ametoa tamko hilo Julai 30, 2024 alipokuwa akiongoza kikao cha kamati ya lishe ngazi ya Mkoa kilicholenga kuboresha afya kwa watumishi na wananchi, ambapo amewataka Viongozi hao wa afya ngazi ya Mkoa kuhakikisha wanasimamia na kutekeleza maagizo yote yanayotolewa na Serikali ikiwemo kuisimamia kwa ufasaha sera ya chakula shuleni.

Aidha, Katibu Tawala huyo amewataka watumishi wa afya ngazi ya Mkoa kuhakikisha wanasimamia sekta ya mazoezi pia kwa kuwa ndio msingi wa afya imara na katika kusisitiza hilo ametaka kuwepo na vipindi maalumu vya mazoezi kwa watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.

"Mnaweza mkatenga hata siku tatu kwa wiki, kila siku mtakayoichagua jioni mara baada ya muda wa kazi mkawa na kipindi cha mazoezi kwa watumishi wa hapa ofisi ya Mkuu wa Mkoa". Amesema Balandya wakati akisisitiza kuhusu kufanya mazoezi.

Kadhalika Bw. Balandya ametumia kikao hicho pia kuwataka Viongozi hao wa afya ngazi ya Mkoa kuhakikisha wanatoa elimu ya matumizi sahihi ya chupa za maji za plastiki ambapo kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na mtindo wa kutumika tena huku zikiwa tayari zimeshatumika na kwa namna zilivyotengenezwa hazikupaswa kutumiwa tena na hivyo zinaweza kuleta madhara kwa afya.

"Niwatake pia mkatoe elimu kwa wananchi juu ya matumizi ya chupa ambazo zimekwishakutumika ni hatari kwa afya, hivyo mkawaambie wananchi huko anaweza akaitoboa chupa hiyo mara baada ya kuitumia ili kuifanya chupa hiyo isitumike tena". Amesema Balandya.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti