• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

SERIKALI YA AWAMU YA SITA INAJALI MAISHA YA WANANCHI WAKE - WAZIRI MKUU

Posted on: January 23rd, 2026

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) mapema leo ijumaa tarehe 23 Januari, 2026 ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa kituo cha kuratibu ufuatiliaji na uokozi katika ukanda wa ziwa Victoria wilayani Ilemela.

Akiongea na wananchi baada ya ukaguzi huo Dkt. Nchemba amesema Serikali ya awamu ya sita inajali maisha ya wananchi wake na kwamba inajipambanua kwa dhamira ya kuwaletea wananchi maendeleo kwa kutekeleza miradi mikubwa hata iliyoshindikana siku za nyuma.

“Jambo hili linahusisha masuala ya kidharula, watendaji kwenye mradi huu msisinzie hata kidogo maana mtaleta maafa kwa kuangamiza maisha ya watu na vifaa vya kisasa vilivyowekwa kwa gharama kubwa kwa fedha ambazo Mhe. Rais ameweka hapa pamoja washirika wenzetu” Mhe. Waziri Mkuu.

Akimkaribisha Mhe. Waziri Mkuu, Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof Makame Mbarawa amesema ukanda wa ziwa victoria umekua na changamoto kubwa ya ajali za majini ambapo takribani watu 20 wamefariki maji na ndipo Serikali ikaamua kuwa na kituo hicho kwa ajili ya uokozi.

Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Uwakala wa Meli nchini (TASAC) Mohamed Salum amesema Kituo hicho ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa kimataifa wa Afrika Mashariki wa kuzuia matukio ya ajali na upotevu wa maisha ya watu ambao uliidhinishwa na Baraza la Mawaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2007.

Aidha, amebainisha kuwa mnamo mwaka 2022 hadi 2025 mradi huo ulianza rasmi kutekelezwa kwa pamoja na Mataifa ya Tanzania na Uganda ambapo umelenga kuimarisha usalama wa vyombo kwa kuongeza wigo wa ufuatiliaji wa ajali kwenye vyombo vya usafiri pamoja na wavuvi katika eneo la maziwa.

Aidha, amebainisha kuwa kituo hicho rasmi cha utafutaji na uokoaji na kupata taarifa halisi za hali ya hewa kwa gharama za Tshs. Bilioni 19.8 kwa upande wa Tanzania huku ikijumuisha gharama za vituo vya Uokoaji vitatu, Boti, Maboya pamoja na jengo katika eneo la kituo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti