• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Shamba la Taifa la Mifugo Mabuki liwekewe miundombinu ya visima ili kuwa na Malisho bora: RAS Mwanza

Posted on: January 4th, 2024

Shamba la Taifa la Mifugo Mabuki liwekewe miundombinu ya visima ili kuwa na Malisho bora: RAS Mwanza


Leo Januari 4, 2024 Katibu Tawal Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amefanya mazungumzo mafupi Ofisini kwake na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Prof. Daniel Mushi ambapo ametoa rai kwa Wizara hiyo  kuweka miundombinu ya visima vya Maji kwenye Shamba la Mabuki ili uoteshaji wa Malisho uwe endelevu.

Balandya amesema mradi huo uliopo Wilayani Misungwi ambao umewalenga vijana kujikwamua kiuchumi kwa kuwa wafugaji bora ni mzuri ila changamoto iliyopo ya uhaba wa maji unarudisha nyuma malengo yaliyokusudiwa na Wizara.

"Ndugu Naibu Katibu Mkuu, wakati wa kiangazi suala la Malisho linakuwa tatizo kutokana na uhaba wa malisho na kufanya mifugo kushuka ubora wake na kushindwa kupata soko",amefafanua Mtendaji huyo wa Mkoa wakati wa mazungumzo mafupi na Mtendaji huyo wa Wizara sekta ya mifugo.

Balandya amebainisha kuwa Ofisi yake hivi sasa ipo mbioni kukamilisha Maduka maalum ya nyama yapatayo matano ili kuwahakikishia soko vijana hao wa Mabuki walipo kwenye Mradi wa Jenga kesho iliyo bora (BBT).

Kwa upande wake Naibu Katibu Mkuu Prof. Mushi amesema changamoto zilizopo katika shanba hilo Wizara inazitambua likiwamo tatizo sugu la uvamizi kutoka kwa wananchi na sasa wapo mbioni kuweka ulinzi wa kudumu kutoka Suma JKT.

"Nakuhakikishia Ras tutaanza kuwaondoa wavamizi wote hivi karibuni na kuweka ulinzi wa kudumu,tutaboresha nyumba za kulala za vijana wanaendelea kuingia kwa awamu kupata mafunzo kwenye vituo atamizi,na pia suala la visima litapatiwa ufumbuzi muda siyo mrefu," Naibu Katibu mkuu.

Ameongeza kuwa mradi huo ni jicho la Mhe Rais Samia ambaye ndoto yake ni kuona kundi la vijana wanaokosa ajira wanakombolewa na mradi huo ambao umewekewa mikakati yenye tija.

"Upo mfuko maalum ulio na Shs bilioni 130 ambao utaingizwa kwenye baadhi ya Taasisi za kibenki ili kuwakopeaha vijana hao mara baada ya kupata mafunzo hayo ya unenepeshaji mifugo lengo likiwa wawe wafugaji bora na siyo wachungaji",amesisitiza Naibu Katibu mkuu huyo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti