• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

SHIMMUTA Kufanyika Mwanza

Posted on: September 12th, 2019


Kikao cha wadau wa michezo kimefanyika mapema hii leo katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa  wa Mwanza, lengo la kujadili maandalizi ya Bonanza la michezo lililoandaliwa na shirikisho la michezo la mashirika ya Umma Taasisi na makampuni binafsi Tanzania (SHIMMUTA) lililopangwa kufanyika tarehe Octoba 12 mwaka huu katika uwanja wa michezo wa CCM Kirumba.

Akizungumza katika kikao hicho  Afisa michezo Mkoa wa Mwanza, James William amesema kama mkoa wa Mwanza umeyakubali mashindano haya ya Bonanza kwani yatafungua mlango wa michezo kwa mashirika, viwanda na makampuni pia itakuwa na faida kwa wafanyakazi.

“Sisi Mkoa wa Mwanza tumeyakubali na tukasema uwe mlango wa michezo kwa mashirika, viwanda na makampuni na zipo faida za kuwa na michezo kwa wafanyakazi kama kujenga afya kutokomeza baadhi ya magonjwa kama magojwa ya moyo na kisukari,” Alisema William.

Aidha, William amesema kuwa bonanza hilo la michezo limepokelewa kama moja wapo ya fursa ya  kujenga mahusiano nakukuza uchumi katika mkoa wa Mwanza.

“Ninaamini wageni wataokuja katika kushiriki katika bonanza hili watafanya hoteli zipate watu, vituo vya petrol vitapata watu na mwisho wa siku mzunguko wa uchumi utakuwa umepatikana Mwanza.’’Alisema William.

Naye mwenyekiti wa Shirikisho la michezo la mashirika ya umma taasisi na makampuni binafsi Tanzania,(SHIMMUTA), Khamis Mkanach amebainisha kuwa bonanza hilo litahusisha michezo mbali mbali na kuomba mashirika mbalimbali  kujitokeza kwa wingi kushiriki..

‘’Bonanza hili la michezo litajumuisha michezo mbalimbali ikiwemo mchezo wa mpira wa miguu,mchezo wa kuvuta kamba ,mchezo wa kufukuza kuku, mchezo wa bao, mchezo wa karata pamoja na mchezo wa draft.’’Alisema Mkanach.

Hata hivyo, Mkanach ameweza kuweka wazi kuwa zitakuwepo zawadi mbali mbali kwa wale watakaoibuka washindi katika bonanza hilo la michezo.

‘’wataoibuka washindi katika bonanza hilo watapata zawadi mbali mbali zikiwemo medali,vikombe pamoja na zawadi ya mpira kwa mchezaji atayefunga hat trick katika mchezo wa miguu’’.Alisema Mkanach

Pamoja na hayo Mkanach ametoa wito kwa wadau hao kuweza kutangaza bonanza hilo, pia ameweza kutoa wito kwa makampuni mbali mbali kuweza kujitokeza kwa wingi ili kushiriki katika bonanza hilo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti