• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Shirikisho la Walimu Makada wa CCM Mwanza waiunga mkono Serikali ya Awamu ya Sita kwa kufanya shughuli za kijamii

Posted on: October 6th, 2022

Shirikisho la Walimu Makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza linatarajia kufanya shughuli za kijamii katika kuadhimisha mwaka mmoja wa Shirikisho hilo tangu kuanzishwa kwake.

Akizungumza kwa niaba ya mwenyekiti Jackson Kadutu, Katibu wa Shirikisho Mwalimu David Sulube amesema katika kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali ya awamu ya sita wameamua kutoa Msaada kwa Mama na Mtoto kwenye Hospitali ya Buzuruga wenye thamani ya Tshs. Milioni 2 siku ya jumamosi ya tarehe 08 Oktoba, 2022.

Aidha, mwalimu Sulube amesema kuwa katika maadhimisho hayo wanatarajia pia kupanda Miti elfu kumi kwenye wilaya zote za Mkoa huo ambapo uzinduzi Rasmi wa shughuli hiyo utafanywa katika shule ya Sekondari Lugeye iliyopo wilayani Magu siku ya ijumaa ya tarehe 07, 2022.

Amesema, kwenye siku hiyohiyo ya ijumaa kutakuwepo na ugawaji wa taulo za kike zenye thamani ya Tshs. Milioni mbili na laki tano kwa watoto 300 wa kidato cha tano na sita katika shule hiyo kwa awamu ya kwanza lakini pia zitagawiwa taulo hizo kwa watoto wenye mahitaji maalumu katika shule ya Sekondari Buhongwa.

"Siku ya jumamosi shirikisho tutakuwa na Shughuli nyingine muhimu sana ya kijamii ya uchangiaji wa damu na utoaji wa misaada kwa mama na Mtoto," amefafanua Mwalimu Kaligiwa.

Shirikisho la Walimu wa Chama Cha Mapinduzi limeipongeza Serikali kwa kutekeleza Ilani ya CCM ibara ya 84 inayotaka  kuboreshwa kwa huduma za afya hususani Mama na Mtoto kwani baada ya kuboresha vifaa tiba kwenye Hospitali ya Buhongwa kumekua na ongezeko la wamama wanaojifungua hadi 600 kwa mwezi kutoka 200 siku za nyuma.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti