• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

SKIMU YA UMWAGILIAJI KUSAIDIA KUONGEZA UZALISHAJI MAZAO BUCHOSA

Posted on: October 6th, 2024

SKIMU YA UMWAGILIAJI KUSAIDIA KUONGEZA UZALISHAJI MAZAO BUCHOSA


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Ndg. Godfrey Eliakim Mnzava leo tarehe 06 Oktoba, 2024 amezindua mradi wa skimu ya umwagiliaji iliyojengwa kwa Tshs. Bilioni 2. 4 kupitia tume ya taifa ya umwagiliaji kwenye kijiji cha Sukuma kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa.

Akizungumza na wananchi wa Sukuma, Magurukenda na maeneo ya jirani, ndugu Mnzava ameipongeza serikali kwa kutekeleza ujenzi wa miundombinu hiyo na amebainisha kuwa itawasaidia wakulima kuongeza uzalishaji kwa kufanya shughuli hizo katika kipindi chote cha mwaka pasipo kusubiri mvua.

Ametumia pia wasaa huo kuwaondoa hofu wananchi kwamba mradi huo sio kwa ajili ya wawekezaji na katika hilo amewahakikishia kuwa mradi huo ni kwa ajili ya wananchi na kwamba serikali ya awamu ya sita imedhamiria kuwainua wananchi wake kiuchumi.

"Mradi huu ni kwa ajili ya wananchi sio wawekezaji, naomba mpuuze maneno na minong'ono inayosema kwamba mradi huo umetekelezwa kwa ajili ya wawekezaji tumieni fursa hii kuongeza uzalishaji kwenye mazao ya chakula, matunda na mbogamboga." Amesema Kiongozi wa mbio za Mlmwenge

Aidha, Mwenge wa uhuru umezindua madarasa 2 na matundu 6 ya vyoo katika shule ya awali na msingi Nyehunge iliyotekelezwa na serikali kwa Tshs. milioni 55.8 kupitia mradi wa GPE LANES kabla ya kuweka jiwe la msingi kwenye Zahanati ya Nyakasungwa ambapo Milioni 250 za mapato ya ndani yakijenga majengo ya OPD na maabara.

Halikadhalika, mwenge wa uhuru umezindua mradi wa maji kwenye kijiji cha Kasela wenye uwezo wa kuzalisha lita milioni moja kwa siku wenye thamani ya Milioni 218 ambapo kiongozi wa mbio hizo amewapongeza wasimamizi (RUWASA) kwa kuongeza hali ya upatikanaji wa maji safi kutoka 10% hadi 85%.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti