• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

SUMATRA Yatoa elimu ya huduma ya usafiri wa Abiria mijini

Posted on: June 27th, 2018

Mamlaka ya usafiri wa Nchi kavu na majini (SUMATRA) imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara na wamiliki wa magari ya kubeba abiria wa Mkoa wa Mwanza na Mikoa ya jirani ili kuboresha mfumo wa usafirishaji na kutatua changamoto za misongamano ya daladala mijini.

Akizungumza wakati wa kutoa mafunzo hayo, Meneja leseni wa kanda ya ziwa Leo Ngowi alisema, Mkoa wa Mwanza una daladala 3,240 kati ya hizo 2,800 zinauwezo wa kubeba abiria 20.

Mikoa mingine ni Geita wenye daladala 950 kati ya hizo 530 ndizo zenye uwezo wa kubeba abiria 20 na Mkoa wa Mara una daladala 1,360 zenye uwezo wa kubeba abiria ni 1300.

Mkurugenzi wa Sumatra Nchini Gilliard Ngewe alisema wameamua kufanya mafunzo hayo ili kuwaandaa wamiliki kisaikolojia pindi mabasi makubwa ya abiria yatakapo wasili, kutatua changamoto za msongamano wa daladala mijini na kupunguza hewa ya ukawa inayotokana na daladala.

“Licha ya kupunguza msongamano barabarani lakini pia madereva na makondakta watapata ajira kwa kulipwa stahiki zao na pia wamiliki watakaojiunga na vyama vya ushirika au kuwa na makampuni watapunguza garama za uendeshaji kwa kuwa basi moja linauwezo wa kubeba abiria 90 sawa na mabasi madogo sita ya abiria”alisema Ngewe.

 

Naibu Mrajisi tume ya maendeleo ya ushirika Charles Malunde alisema kuna zaidi ya wanachama millioni 9 nchi nzima, na kuwasihi wamiliki wa gari za abiria wajiunge na vyama vya ushirika kwa maendeleo yao na Taifa.

Naye, Mwenyekiti wa chama cha madereva wa daladala kanda ya Ziwa Dede Petro alisema hatua hiyo itawasaidia wananchi kupunguza gharama ya usafiri kwa kuwa na huduma bora pamoja na ajira za kudumu kwa madereva na makondakta.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti