• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TAASISI ZOTE MWANZA ZATAKIWA KUJISAJILI PDPC

Posted on: March 28th, 2025

TAASISI ZOTE MWANZA ZATAKIWA KUJISAJILI PDPC


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza amezitaka Taasisi zote za Umma na binafsi Mkoani humo kuhakikisha wanajisajili katika Mfumo wa Usajili na Uzingatiaji wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC )kabla ya Tarehe 30 Aprili, 2025 ambayo ni ukomo wa kujisajili kwa hiari baada ya muda wa nyongeza uliotolewa na Tume.

Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo kupitia hotuba yake iliyosomwa na Mhe. Hassan Masala, Mkuu wa Wilaya ya Ilemela aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wakati wa kufunga Warsha maalumu kwa Kamati ua Usalama Mkoa pamoja na Wadau wa Taasisi za Umma na Binafai leo machi 28, 2025.

Mhe. Mtanda amesema baada ya tarehe hiyo ya ukomo taasisi zote zitakazoshindwa kujisajili zitachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni na sheria za kiutawala.

“Na nitumie nafasi hii kumuagiza Katibu Tawala Mkoa kuhakikisha barua hizo ulizoletewa kutoka Tume kuhakikisha zinazifikia Taasisi zote kwa utekelezaji”.

Aidha, ameziagiza pia Taasisi zote za Umma na Binafsi kuteua Maafisa wa Ulinzi wa Taarifa Binafsi (DPOs) ambao watahusika moja kwa moja na usimamizi wa ulinzi wa taarifa binafsi ndani ya Taasisi zao kwa mujibu wa matakwa ya Sheria ya ulinzi wa Taarifa Binafsi.

Kadhalika, Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuwa usalama wa taarifa binafsi ni msingi wa maendeleo ya kidigitali na uaminifu katika utoaji huduma nchini, hivyo ametoa rai kwa washiriki hao kutumia fursa hiyo kujifunza kushirikiana na kubadilishana uzoefu ili kuimarisha mifumo ya ulinzi wa taarifa binafsi Mkoani Mwanza.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa PDPC Dkt. Emmanuel Mkilia amesema Mkoa wa Mwanza ni Mkoa unaokua kwa kasi na kuna umuhimu mkubwa wa utekekezaji wa sheria hiyo ambapo kwa sasa ni Taasisi 20 pekee ndio wamejisajili hali inayotakiwa kubadilika ili Mkoa pia utajwe kuwa mfano katika ulinzi wa taarifa binafsi

Aidha Tume hiyo imemuomba Mkuu wa Mkoa kuhamasisha Taasisi hizo kufanya warsha kwa watumishi wao ili kuongeza uelewa wa ulinzi wa taarifa binafsi na wajibu wa Taasisi katika kulinda utu na faragha za watu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti