• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TAMISEMI kuleta Kamati nyingine kuchunguza sakata la uuzwaji viwanja Jiji la Mwanza

Posted on: January 26th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amesema Ofisi ya Rais TAMISEMl inatarajia kuleta Timu kuchunguza Sakata la Uuzaji wa Viwanja namba 194 na 195 Katika Kitalu U kwenye Mtaa wa Rwegasore Jijini Mwanza ili kujiridhisha na taratibu zilizotumika pamoja na utendaji kwa ujumla wa Sekta ya Ardhi kutokana na uwepo wa malalamiko mengi kutoka kwa wananchi.

Mhe. Malima amesema hayo leo (Januari 26, 2023) wakati akipokea Ripoti Maalum kutoka  kwa Timu aliyoiunda Januari 13, 2023 kuchunguza taratibu zilizotumika kuuza Viwanja hivyo licha ya uwepo wa zuio lililotolewa na Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Nyamagana kwenye kikao kilichoketi Septemba 28, 2022.

Aidha, ameishukuru Timu hiyo kwa kukamilisha kazi ndani ya muda waliopatiwa (Siku 7) na akabainisha kuwa Ofisi yake itawasilisha taarifa kwenye Ofisi ya TAMISEMl, Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi pamoja na Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU ili kuzitaarifu juu ya yaliyobanika kwenye uchunguzi uliofanywa na Kamati hiyo.

Awali, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mkurugenzi wa Maadili wa Kanda ya ziwa Ndugu Godson Kweka alifafanua kuwa katika kutekeleza jukumu hilo wameongozwa na Hadidu za rejea 11 zikiwemo kuchunguza Historia ya Umiliki wa viwanja hivyo, sababu zilizomfanya Mkurugenzi wa Jiji kuamua kuviuza pamoja na uwepo wa zuio la kufanya hivyo ambalo lilitolewa na Kikao ambacho naye alishiriki.

Zingine ni kuwachunguza watumishi walioshiriki katika Uuzaji wa viwanja hivyo, Ushiriki wa Kamishna Msaidizi wa Ardhi kwenye suala hilo, Uwezo wa Menejimenti ya Halmashauri hiyo katika kushauri mambo, thamani halisi ya viwanja hivyo na uchungu notzi dhidi ya washiriki wote hata amabo sio watumishi wa umma waliohusika kwenye mchakato wa kuuza viwanja hivyo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti