• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TCRA yatoa msaada wa Kompyuta Buchosa

Posted on: June 22nd, 2018


Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) imetoa msaada wa kompyuta 12 katika Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa, Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza ili kuhakikisha jamii za pembezoni zinanufaika na maendeleo ya sekta ya teknolojia  ya Habari na mawasiliano(TEHAMA).

Akiongea wakati wa uzinduzi wa kituo hicho cha TEHAMA (TELESENTA) Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Mhandisi James M. Kilaba amesema kuanzishwa kwa kituo hiki ni faraja kwa TCRA kwani wamekuwa wakianzisha vituo kama hiki maeneo mbalimbali nchini na vimeleta tija kwa wananchi kwani vimechangia katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

“TEHAMA imeleta mafanikio makubwa kwani wateja na watoa huduma wameongezeka katika eneo la simu za viganjani,huduma za intaneti,vituo vya televisheni na redio na ongezeko la huduma za kifedha kupitia simu za mikononi,”alisema Mhandisi Kilaba.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.John Mongella katika uzinduzi wa kituo hicho amesema kuwa dunia sasa inaelekea kwenye uchumi wa kidijitali ambapo TEHAMA ni nyenzo muhimu ya kufikia maendeleo ya kiuchumi hivyo ni vema Nchi kuwekeza katika TEHAMA hususani kuijengea uwezo jamii ili iweze kukabiliana na mabadiliko haya ya utandawazi.

Hata hivyo Mhe.Mongella ameipongeza Serikali kwa juhudi inazofanya na kuwashukuru TCRA kwa kufanikisha kuanzishwa kwa kituo hicho,pia amewataka Halmashauri ya Buchosa kuvitumia na kuvitunza viruri ili vilete tija kwa jamii.

Kwa upande wake Mkuu wa WIlaya ya Sengerma Mhe.Emmanuel Enock Kipole amesema heshima ambayo wamepewa na TCRA wataienzi kwa kutumia vizuri vifaa kituo hicho kwani kulingana na tekinolojia inavyokua vifaa hivyo vitapelekea kukua kwa uchumi wa Wilaya ya Sengerema.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti